Hivi Kujiunga NATO kuna faida gani

Hivi Kujiunga NATO kuna faida gani

Huwa tunajiunga kwa kufuata vivutio vya kiuchumi mambo mengine yanayotajwa.Huku NATO huwa wanajiunga tu kichwa kichwa bila kutaja faida zake tena katika hali ya hatari.Mtu anasema atatumbua nyuklia na wewe unasema nitajiunga tu.
Nenda kasome Article number 5 ya NATO
 
URUSI ina sera za kishetani ndio maana nchi zote za kikomunisti zimemkimbia na kufanya uadui naye, Poland, Romania, Bulgari na Moldova. Urusi hakuna demokrasia Puttin yuko madarakani miaka 27!Wapinzani katika nchi za URUSI wanauwawa hovyo na kuswekwa gerezani. Ukifika ktk Nchi za NATO ni raha tupu. kuna demikrasi ambapo maraisi husutwa hadharani na hatimaye kutolewa kwa kura kama hawawezi kazi.wapinzani hulindwa na katiba na maoni yao ni dhahabu kitaifa. sasa utakuta nchi nyingi sana zinatamani NATO membeship kuliko kutwaa sera za URUSI ambazo shetani tuu ndo mshabiki wake!
 
URUSI ina sera za kishetani ndio maana nchi zote za kikomunisti zimemkimbia na kufanya uadui naye, Poland, Romania, Bulgari na Moldova. Urusi hakuna demokrasia Puttin yuko madarakani miaka 27!Wapinzani katika nchi za URUSI wanauwawa hovyo na kuswekwa gerezani. Ukifika ktk Nchi za NATO ni raha tupu. kuna demikrasi ambapo maraisi husutwa hadharani na hatimaye kutolewa kwa kura kama hawawezi kazi.wapinzani hulindwa na katiba na maoni yao ni dhahabu kitaifa. sasa utakuta nchi nyingi sana zinatamani NATO membeship kuliko kutwaa sera za URUSI ambazo shetani tuu ndo mshabiki wake!
Nionavyo mimi faida hizi hazijashinda hasara ya kuwa mjumbe wa NATO.Kama ni demokrasia si lolote mbona wizi wa kura na ugomvi vinatawala zaidi kwenye nchi za demokrasia.Hata kule Marekani wanaibiana kura.Kama ni kukaa madarakani muda mrefu mbona Malkia Elizabeth yupo madarakani takriban karne sasa
 
kwani kujiunga ECOWAS, AU , East Africa Community nk kuna faida gani ?
Na huwa hatujiungi tu kwa akili zetu.Haya madude huwa tunaundiwa kwa siri halafu sisi tunaingia kwa ushawishi wa waliotutawala ili waendelee kutuburuza kwenye malengo yao.
 
Nchi ya Ukraine imeingia kwenye vita kwa nia ya kujiunga na kuongoza ushirikiano na umoja wa NATO jambo ambalo Urusi hawalitaki. Katikati ya vita hivi na madhara makubwa kwa nchi ya Ukraine yakishuhudiwa kote duniani,bado kuna mataifa jirani na Urusi kama vile Sweden na Finland zimekuwa zikijadili na kuongeza harakati za kujiunga na umoja huo unaoichukiza nchi ya Urusi.
Ni zipi faida za kujiunga na umoja huo kiasi cha mataifa ya Ulaya Mashariki, jirani na Urusi kujiweka hatarini kuharibu nchi zao.Kwa upande mwengine twaweza kujiuliza kwanini nchi nyingi zina kiherehere cha kujiunga na NATO ilhali watu wanaoishi Urusi wanaonekana kuishi maisha bora zaidi kuliko wanaoishi mataifa ya NATO.
Watu wanataka usalama zidi wavamizi moscow,Urusi ni nchi ambayo haiaminiki
 
kwani kujiunga ECOWAS, AU , East Africa Community nk kuna faida gani ?
Nafikiri East Africa Comunity inaweza kulinganishwa na European union na sio NATO. Hata AU haiwezi kulinganishwa na NATO kiutendaji wake.

Tutoe mifano halisi katika ulinganisho.
 
Kule Urusi hakuona omba omba mitaani kama mataifa ya NATO na watu hawauwani ovyo kama kule.
Jua lakini Urusi ni moja ya nchi ambazo serikali inacontrol vyombo vya habari vyake, hawana uhuru wa kusema au kuonyesha vitu ambavyo serikali haitaki
 
Nchi ya Ukraine imeingia kwenye vita kwa nia ya kujiunga na kuongoza ushirikiano na umoja wa NATO jambo ambalo Urusi hawalitaki. Katikati ya vita hivi na madhara makubwa kwa nchi ya Ukraine yakishuhudiwa kote duniani,bado kuna mataifa jirani na Urusi kama vile Sweden na Finland zimekuwa zikijadili na kuongeza harakati za kujiunga na umoja huo unaoichukiza nchi ya Urusi.
Ni zipi faida za kujiunga na umoja huo kiasi cha mataifa ya Ulaya Mashariki, jirani na Urusi kujiweka hatarini kuharibu nchi zao.Kwa upande mwengine twaweza kujiuliza kwanini nchi nyingi zina kiherehere cha kujiunga na NATO ilhali watu wanaoishi Urusi wanaonekana kuishi maisha bora zaidi kuliko wanaoishi mataifa ya NATO.
Hiyo NATO ni kikoba cha ugomvi ugomvi. Ukijiunga faida yake ni kupiga collabo kwenye ugomvi, wamewekeza na wananunua ugomvi
 
Back
Top Bottom