Hivi kula wali maharage ni kujishusha? Huyu Lemutuz sijui yupoje?

Status
Not open for further replies.
Toka nilipoiona hii picha na kuona maelezo kwamba haya ndio yalikuwa makazi ya marehemu mama yake huyo jamaa huwa namuona limbukeni.

-Ndumilakuwili-
 
leo nimeliona noah lake la makinikia mitaa ya posta...nimelitambua shati kubwa ndani ya gari baada ya kuona gari zima limechafuliwa michata ya lemutuz...nikang'amua kubwa jinga ndo limo ndani.
 
Halafu mbona huyu babu yangu hajajenga hadi leo... Aisee halafu ni mkubwa kuliko dingi yangu, sijui huku anafanya nini, picha za hotel tu na shati moja, hv vile viatu vya diamond umeweka wapi le mduduz, haki vile baba yako ana hasara, bora angeenda kupiga bao kwenye mgomba ili hata iwe mbolea leo angekula ndizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi nakitafuta kwa kupigania kweli kumbe yeye anajishusha!!! kweli dunia haina usawa....!
 
Nikiwa na mtoto kama Le Mutuz, najinyonga hadharani kabisa. Naweza kwenda Garden pale posta NBC nikajinyonga mubashara.

Heri kufa kuliko kutahayarika mbele ya kadamnasi.
Weka akiba ya maneno mkuu

[emoji252]You get what you work for not What you wish for [emoji252]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…