Hivi kumbe centipede yupo hivi?

Hivi kumbe centipede yupo hivi?

Desire Dizaya

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2015
Posts
6,476
Reaction score
11,659
Umeme umekatika.. Nlikua nasomasoma jf ghafla nahisi kitu mguuni akapenya anaingia ndani ya suruali.. Kama sio kujikunguta kwa nguvu sijui ingekuaje
Ana spidi kali
Hapa nkiguswa na mu naruka

Na je ikiwa atakung'ata ana sumu? Madhara yake?

Anaitwa centipede kwa kiingreza
Kiswahili tunamwita tandu
Screenshot_2018-12-15-21-22-12.jpeg
 
Umeme umekatika.. Nlikua nasomasoma jf ghafla nahisi kitu mguuni akapenya anaingia ndani ya suruali.. Kama sio kujikunguta kwa nguvu sijui ingekuaje
Ana spidi kali
Hapa nkiguswa na mu naruka

Na je ikiwa atakung'ata ana sumu? Madhara yake?

Anaitwa centipede kwa kiingreza
Kiswahili tunamwita tanduView attachment 969232
Polee..
 
Umeme umekatika.. Nlikua nasomasoma jf ghafla nahisi kitu mguuni akapenya anaingia ndani ya suruali.. Kama sio kujikunguta kwa nguvu sijui ingekuaje
Ana spidi kali
Hapa nkiguswa na mu naruka

Na je ikiwa atakung'ata ana sumu? Madhara yake?

Anaitwa centipede kwa kiingreza
Kiswahili tunamwita tanduView attachment 969232
Unaonekana unaishi sehemu chafu chafu na mpangilio wa vitu vyako haujakaa vizuri
.
Badilika utaumbuka mbele za watu.
 
Unaonekana unaishi sehemu chafu chafu na mpangilio wa vitu vyako haujakaa vizuri
.
Badilika utaumbuka mbele za watu.
watanzania washamba ndio hawa hapa.....

huko masaki na oystebay kwenyewe mvua ikinyesha tu hao tandu wanakuwepo na kama mlango hujaweka zile rubber chini unaweza kukutana nao ndani

nimetolea mfano wa masaki na oysterbay maana ndio sehemu mnazoziona safi
 
Yaani ni bora umesema mkuu..huyu jamaa kuingia ndani hachagui..unaweza ukawa msafi kuliko ndani lakini akatoka kwenye mashimo yake akaja kwako
watanzania washamba ndio hawa hapa.....

huko masaki na oystebay kwenyewe mvua ikinyesha tu hao tandu wanakuwepo na kama mlango hujaweka zile rubber chini unaweza kukutana nao ndani

nimetolea mfano wa masaki na oysterbay maana ndio sehemu mnazoziona safi
 
Back
Top Bottom