Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unafikir ni kama hawa wenu wa shinikizo la damu???Mmmh hakuna kipindupindu wala nini kulikuwa na namna nyingine
Huyu risasi ilihusikaI bet sio "Abraham Lincoln"
Wengi wao walipigwa risasi na kuondolewa duniani.Huyu risasi ilihusika
I bet sio "Abraham Lincoln"
Una maana gani unaposema wengi waoWengi wao walipigwa risasi na kuondolewa duniani.
Abraham Lincoln aliuawaI bet sio "Abraham Lincoln"
Wengi wa marais wa USAUna maana gani unaposema wengi wao
Siku zote "Wengi inaanzia idadi 2 kuendelea"Sio kweli unaposema wengi wao waliuwawa kwa risasi Aisha unapotosha ukweli au hujui kabisa USA imetawaliwa na maraisi 45 plus trump
Unaposema wengi wao wameuwawa kwa risasi unamaanisha zaidi ya nusu yani 23+ wameuwawa kwa risasi rekebisha hiyo wengi wao bwana haileti maana
Neno baadhi yao' lingekuwa zuri zaidi...Siku zote "Wengi inaanzia idadi 2 kuendelea"
Sijasema "zaidi ya nusu" kama ambavyo umefikiri/umewaza.
Sawa mkuu.Neno baadhi yao' lingekuwa zuri zaidi...
Ukisema wengi wao inamaanisha kati ya wote wengi waliuwawa, kinyume chake wachache ndo hawakuuwawa.