Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
waliouwawa kwa risasi ni wawili, abraham lincoln na john kenedy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliouawa kwa risasi ni wanne;Abraham Lincoln(1861-1865), James Garfield(1881), William McKinley (1897-1901) na John F. Kennedy (1961-1963).waliouwawa kwa risasi ni wawili, abraham lincoln na john kenedy
Unamaanisha Nini hiki ulichokiandikaWengi wao walipigwa risasi na kuondolewa duniani.
Samahani naomba kujuzwa, aliyekuwa rais wa kwanza wa Marekani alikuwa na uhisiano na rais wa 41 na 43?
[/QUOTE
Bangi hii Sasa uhusiano unaanzaje kwa muachano wa miaka 300 au umekosea kuuliza swali
sikulijua hiliNImesoma Historia Za Maraisi 44 waliotawala Marekani ila Nimeshtuka kuona kuna Rais Mmoja Alifariki kwa Kipindupindu Zachary Taylor, Pia Rais James Buchanan Alikuwa Bachela hakuwa na Mke.View attachment 435630
Kwa nini ushtuke?NImesoma Historia Za Maraisi 44 waliotawala Marekani ila Nimeshtuka kuona kuna Rais Mmoja Alifariki kwa Kipindupindu Zachary Taylor, Pia Rais James Buchanan Alikuwa Bachela hakuwa na Mke.View attachment 435630
waliouwawa ni ...Abraham Lincoln, James A. Garfield, William McKinley na John F. Kennedy..ungetumia neno wachache au baadhi yao ...Wengi wao walipigwa risasi na kuondolewa duniani.