Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
Huko anakotoka anakuwa amesha zimua kiroba hivyo si rahisi alewe fastaMtilieni dawa ya usingizi alewe fasta alale awaache mwendelee na Safari zenu
Mno
Kuingiza limkonga lake, kupapasa, kufanya dakika kumi, akichoka anaondoka😀 Uzi umejaa matusi tupu
Huyo hutakiwi kumsogelea karibu ukiwa na gari, simama ukiwa mbali umpishe apite.Anasimamisha magari Kana kwamba ni trafiki anataka kulikagua gari ataingiza limkonga lake dirishani na kuanza kupapasapapasa humo kwenye gari chochote cha kula atakachokutana nacho ni halali yake atakipora,ataacha usumbufu wake atakapopenda yeye anaweza simamisha gari zaidi ya dakika 10 akilikagua na hata kulisukuma kutaka kulidondosha
View attachment 2960252
View attachment 2960253
View attachment 2960254
Ona mambo yake
Mwe!Na kusimamisha pia.... Mpaka achokeeee.
🤣🤣Mkimvuruga mtajuta
Ni hatari anaweza kuupeleka mkongq makalioni mwa mtu au kule mbele down akamng'oa mtu pumbuHuo mkonga ukikutana na mtu ndani ya gari inakuwaje?
Humo ndani wote lazima wajifanye masanamu japo ana mchezo wa kugusa maeneo fulani nyeti kukujaribu kama wewe mjikaushaji ni sanamu kweli
😂😂😂Kuingiza limkonga lake, kupapasa, kufanya dakika kumi, akichoka anaondoka😀 Uzi umejaa matusi tupu
🤣🤣🤣 aisee...ole wako ujikuneHumo ndani wote lazima wajifanye masanamu japo ana mchezo wa kugusa maeneo fulani nyeti kukujaribu kama wewe mjikaushaji ni sanamu kweli