To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣🙌🏿Kuingiza limkonga lake, kupapasa, kufanya dakika kumi, akichoka anaondoka😀 Uzi umejaa matusi tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🙌🏿Kuingiza limkonga lake, kupapasa, kufanya dakika kumi, akichoka anaondoka😀 Uzi umejaa matusi tupu
Ni msumbufu mbo ukija kasi kama unamgonga ndio anasogeaHuyo hutakiwi kumsogelea karibu ukiwa na gari, simama ukiwa mbali umpishe apite.
Kwema To yeye
Utavumilia wewe ukiona mkonga unaelekea umamani🤣🤣🤣 aisee...ole wako ujikune
Hapana maana ni mkubwa mnoUtavumilia wewe ukiona mkonga unaelekea umamani
Safi kipenzi namshukuru MunguPoa mpenz...Vp mom?
Bora uvumilie ukishtuka anaweza kukuumiza we chuna tu umuache afanye atakacho akiona hueleweki hana interest na weweHapana maana ni mkubwa mno
Kule ruaha mbuyuni majuzi wamakinukisha wamewqacha watu wanalia wametafuna mazao kweri kweriKama hamjapita kwenye maeneo Yao au kujenga au kulima hutajuta kuhusu tembo
Ukiona hivyo ,ukaguzi lazima awakague ugeni
Asante sana my young sisterSafi kipenzi namshukuru Mungu
dawa yake huyo ni ndogo sana, kwetu sisi tuliozaliwa vijijini, pilipili ya unga kama unayo, mrushie, akivuta tu kwenye pua yake ndefu humo, eneo hilo hatakuja kurudi tena maisha yake yote.Anasimamisha magari Kana kwamba ni trafiki anataka kulikagua gari ataingiza limkonga lake dirishani na kuanza kupapasapapasa humo kwenye gari chochote cha kula atakachokutana nacho ni halali yake atakipora,ataacha usumbufu wake atakapopenda yeye anaweza simamisha gari zaidi ya dakika 10 akilikagua na hata kulisukuma kutaka kulidondosha
View attachment 2960252
View attachment 2960253
View attachment 2960254
Ona mambo yake
Hahaha na akili zinamrudi,halafu huwa wanasafiri umbali mrefu mnodawa yake huyo ni ndogo sana, kwetu sisi tuliozaliwa vijijini, pilipili ya unga kama unayo, mrushie, akivuta tu kwenye pua yake ndefu humo, eneo hilo hatakuja kurudi tena maisha yake yote.
Sasa aingie shambani harafu akweme kwenye lite tope wananchi hupiga tembo fimbo zakutosha hasira yakuliwa mazaoKule ruaha mbuyuni majuzi wamakinukisha wamewqacha watu wanalia wametafuna mazao kweri kweri
Mwe sijui hata kama linasikiaga maumivu ya fimboSasa aingie shambani harafu akweme kwenye lite tope wananchi hupiga tembo fimbo zakutosha hasira yakuliwa mazao
Utacheka ,itunundu mle ,isele mule ,mlowa na kinyika na maeneo mengine husika