Hivi kumbe tembo ni msumbufu

Kama hamjapita kwenye maeneo Yao au kujenga au kulima hutajuta kuhusu tembo

Ukiona hivyo ,ukaguzi lazima awakague ugeni
 
Kama hamjapita kwenye maeneo Yao au kujenga au kulima hutajuta kuhusu tembo

Ukiona hivyo ,ukaguzi lazima awakague ugeni
Kule ruaha mbuyuni majuzi wamakinukisha wamewqacha watu wanalia wametafuna mazao kweri kweri
 
dawa yake huyo ni ndogo sana, kwetu sisi tuliozaliwa vijijini, pilipili ya unga kama unayo, mrushie, akivuta tu kwenye pua yake ndefu humo, eneo hilo hatakuja kurudi tena maisha yake yote.
 
dawa yake huyo ni ndogo sana, kwetu sisi tuliozaliwa vijijini, pilipili ya unga kama unayo, mrushie, akivuta tu kwenye pua yake ndefu humo, eneo hilo hatakuja kurudi tena maisha yake yote.
Hahaha na akili zinamrudi,halafu huwa wanasafiri umbali mrefu mno
 
Kule ruaha mbuyuni majuzi wamakinukisha wamewqacha watu wanalia wametafuna mazao kweri kweri
Sasa aingie shambani harafu akweme kwenye lite tope wananchi hupiga tembo fimbo zakutosha hasira yakuliwa mazao

Utacheka ,itunundu mle ,isele mule ,mlowa na kinyika na maeneo mengine husika
 
Sasa aingie shambani harafu akweme kwenye lite tope wananchi hupiga tembo fimbo zakutosha hasira yakuliwa mazao

Utacheka ,itunundu mle ,isele mule ,mlowa na kinyika na maeneo mengine husika
Mwe sijui hata kama linasikiaga maumivu ya fimbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…