Hivi Kumbe yawezekana wote wanaotajwa asiwepo hata mmoja kuwa Rais wa Tanzania 2025/2035

Katoriki ndio kitu gani mkuu

Jifunze kwanza kuandika siasa zitakuchakaza ubongo chief!
 
Kwahiyo chama cha mashetani ccm, wana mpango wa kumsukumiza mwanamke safari hii .Sio ajabu wakaja kituko chochote mile ,maana kuteua mgombea mpaka wapige ramli kwanza wamuulize mungu wao wa mwenge nyamrunda awaongoze .
 
Samia Suluhu 2020-2025
 
Membe na January Uwezo wa peperusha bendara wanao kwani sio wapenda promo za ajabuajabu kama wanajifunza badala kuishi
 
Sijawahi kuona mhaya anachanganyikiwa kiasi hiki.
Yaani Tulia amuongoze nani?

Alafu eti ccm ccm ccm nani kakudanganya kuwa ccm ndiyo ina uhalali au ina leseni ya kuiongoza Tanzania miaka yote?

Naona akabandule na olubisi vinafanya kazi yake
 
Huo ni utaratibu tu tulio jiwekea kama taifa lkn haupo popote kisheria
Tulia Ackson ni Mwislam?
-Julius Kambarage Nyerere
-Ali Hasan Mwinyi
-Benjamini William Mkapa
-Jakaya Mrisho Kikwete
-John Pombe Magufuli
-?
 
Wazo zuri sana
 
Nafasi ya Urais imechezewa na kudhalilishwa mno to the extent sasa tunafikiria mtu aliyefail standard 4B mara tatu na kufoji vyeti eti na yeye anatajwatajwa kuweza kushika nafasi ya Urais. Ama kweli
 
Wote hao hakuna mtu, mgombea atamtaka Magufuli mwenyewe.
 
Sometimes huwa naiita bongo taifa la wajinga ndio kama wewe hapa kweli kabisa huyo wa mwisho kabisa kabisa na akili zako timamu mpaka unapost huu upupu
 
Kweli hadi huyu jamaa nae anatajwa!? Dah!
 
Hapo umeandika kama unaota ndoto
 
The turning point of Tanzania politics will be 2022 not 2020, mark my words and don't ask me how!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…