NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Mkuu britanica!naona kalo mwilapwa kasema ajae ni wajina wa wasasa yaani jina lake litaanza na john!ni nani huyo?halafu kama ni Tulia akson nawaombeni mnifanyie mpango niwe namtuliza kipindi hicho!sidhani kama huyu mlimwende anafikaga kileleni!!sidhani!!
HahahaKigwangala na makonda kama wanafikiria kugombea uraisi kitakuwa kituko
UnasemajeWee vipi mkuu wakati mama samiha atakuwa Rais kabla 2020 kwa siku 90 nakuitisha uchaguzi kwa mujibu wa katiba
HakikaMkuu sijawahi kupuuzia nyuzi zako huwa naufukuaga nyuzi zako za zamani huwa nabaki mdomo wazi wakati mwingine huwa nahisi Mm tu naishi lipinyapinya huku peramiho wengine wote mnafanya kazi idara nyeti Sana maana kila mnachoongea mda ukifika huwa kweli
Mtarudi tena na uzi huu October 2020
HuuTulia Ackson ni Mwislam?
-Julius Kambarage Nyerere
-Ali Hasan Mwinyi
-Benjamini William Mkapa
-Jakaya Mrisho Kikwete
-John Pombe Magufuli
-?
AiseeWee vipi mkuu wakati mama samiha atakuwa Rais kabla 2020 kwa siku 90 nakuitisha uchaguzi kwa mujibu wa katiba
Yalikuwa maono haya attitude za mwendazake zilifanya watu wawaze mbele zaidiWee vipi mkuu wakati mama samiha atakuwa Rais kabla 2020 kwa siku 90 nakuitisha uchaguzi kwa mujibu wa katiba
hiiiHoja yako ipo wapi?
Kituko kinaanzia kwa nchi yenyewe.Kigwangala na Makonda kama wanafikiria kugombea urais kitakuwa kituko
Duh...!. Mkuu britanicca , umetisha sana na hili jina!. Haya uliyasema June 2019!, wewe sio mtu wa kawaida!.B.KUONGOZWA NA MWANAMKE?
Sasa usishangae kwa hali na mali wanaleta Mgombea Mwanamke, mbaya zaidi ukakuta ni Tulia Akson, so lazima huyo ila imebidi niwaze hivyo
Britanicca
Labda akawe raisi wa chuo. Mnadhani hii inchi ni laboratory ya majaribio?!Duh...!. Mkuu britanicca , umetisha sana na hili jina!. Haya uliyasema June 2019!, wewe sio mtu wa kawaida!.
Mimi kwanza nilishauri Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! nikasema huyo Mwanamke wa 2025 sio lazima awe Samia!, hivyo anaweza kuwa Tulia!.
Ila pia nikaisikia hii sauti Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke, huyo Mwanamke kwenye unabii huu ni Tulia.
P
Unataka iwe laboratory mara ngapi boss? Hii nchi ni laboratory na wewe ni specimen utake usitake.Labda akawe raisi wa chuo. Mnadhani hii inchi ni laboratory ya majaribio?!
Tanzania ni nchi ya Watanzania na yeye ni Mtanzania!, why not?.Labda akawe raisi wa chuo. Mnadhani hii inchi ni laboratory ya majaribio?!
Kumbe umeona heeeDuh...!. Mkuu britanicca , umetisha sana na hili jina!. Haya uliyasema June 2019!, wewe sio mtu wa kawaida!.
Mimi kwanza nilishauri Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! nikasema huyo Mwanamke wa 2025 sio lazima awe Samia!, hivyo anaweza kuwa Tulia!.
Ila pia nikaisikia hii sauti Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke, huyo Mwanamke kwenye unabii huu ni Tulia.
P
HahahaHapo kwenye Jeshi Magufuli akiendeleza mambo haya atazingua watutawale kijeshi,
Kuna kanali Ngita
YesDuh...!. Mkuu britanicca , umetisha sana na hili jina!. Haya uliyasema June 2019!, wewe sio mtu wa kawaida!.
Mimi kwanza nilishauri Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! nikasema huyo Mwanamke wa 2025 sio lazima awe Samia!, hivyo anaweza kuwa Tulia!.
Ila pia nikaisikia hii sauti Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke, huyo Mwanamke kwenye unabii huu ni Tulia.
P