Hivi kumiliki 10m mtu unaweza kujiita milionea kweli?

Wakuu, Kuna jamaa angu mhaya kachukua kamkopo bank kama 10m Hivi, sasa naona ameanza kujiita milionea.
Hivi 10m inaweza mfanya mtu awe milionea kweli?

Kampe elimu kuwa mtu anaitwa milionea endapo ana utajiri wenye thamani kuanzia dola za kimarekani milioni moja. Ambayo ni sawa na zaidi ya bilioni moja za kitanzania.
 
Wakuu, Kuna jamaa angu mhaya kachukua kamkopo bank kama 10m Hivi, sasa naona ameanza kujiita milionea.
Hivi 10m inaweza mfanya mtu awe milionea kweli?
Wee mleta Uzi jaribu kuwa muungwana unapoleta habari kwa kuepuka ukabila. Sasa jamaa yangu "mhaya" neno "mhaya" ungeliondoa lingeharibu maana ya ujumbe? Inaonekana unabifu nao na hivyo huu uzi hauna ukweli ni wa kutunga.
 
Kujiita tu? Mie najiita papaa GeoMex tajiri mutoto

Ila utajiri wangu wa kiSafwa shuka,godoro na mbuzi watatu
OK Mwadada Mwagona! uli wii kisafwa ni lugha nayoipenda kuiongea jamaa zangu wengi walikua wasafwa hapo Mbeya...
 
Wakuu, Kuna jamaa angu mhaya kachukua kamkopo bank kama 10m Hivi, sasa naona ameanza kujiita milionea.
Hivi 10m inaweza mfanya mtu awe milionea kweli?
10m zote hizo, m2 mbili tu wewe milionea, tatizo zinatosha nini? Hizo Tshs, zako.
Kama usd 10m wewe ni kiboko.
 
Millionaire awe na utajiri kuanzia Bilioni 1
Billionaire awe na utajiri kuanzia trilion 1.

Bongo mtu ana bilioni 10 wanamuita billionaire huyo ni millionaire.

Mo ni billionaire ameshafikia 1billion dollar
Hujui kitu wewe..eti milionaire awe na utajiri wa bilion moja utakuaje na Bilion 1 halafu bado tukuite milionea unachekesha kweli..milionea ni yule anayemiliki kuanzia milion 1 mpk milion 999..Bilionea ni yule anayemiliki kuanzia bilion moja
 
Wakuu, Kuna jamaa angu mhaya kachukua kamkopo bank kama 10m Hivi, sasa naona ameanza kujiita milionea.
Hivi 10m inaweza mfanya mtu awe milionea kweli?
yupo sawa kabisa kwa hapo Bongo hata ukiwa na 2m wew ni milionea ila kimataifa not had
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…