Hivi kumpigia simu Ex wako ni kosa?

Dah!!![emoji847][emoji847][emoji847]
Itabidi nitafute muda wakati fulani nishuhudie hiki unachosema hapa HM..
NB..Natumia Milkshake za Grano Coffee....Ahsante[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Grano kama unatokea sana, basi tumeishaona onana sanaaaaa sema hatujuani, naamini hata nikikupa code unaweza pata picha 😁😁😁
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] angalia wakandarasi wanao randa randa grano, marrybrown, swad, mangos wapo kila mahala mlimani city [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni wale wanajenga vile vipande vipande vya kule nje?[emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni wale wanajenga vile vipande vipande vya kule nje?[emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
hapana sio hao, sie jioni ndio mda wa kuja reflesh hapo kuona maua mazuri mazuri, kupiga story kupeana deal ningekuambia ungeelewa moja kwa moja ila acha nikaushe nisiuze mechi 😁😁😁😁
 
hapana sio hao, sie jioni ndio mda wa kuja reflesh hapo kuona maua mazuri mazuri, kupiga story kupeana deal ningekuambia ungeelewa moja kwa moja ila acha nikaushe nisiuze mechi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Niambie Bwana.....Au ndiyo wewe before Christmas niliona unapenyeza Ki Memo Mhudumu akakipeleka kwa yule Mrembo?[emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Niambie Bwana.....Au ndiyo wewe before Christmas niliona unapenyeza Ki Memo Mhudumu akakipeleka kwa yule Mrembo?[emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.. Siku hizi boss wa grano katufitini zamani alituwekea pisi kali tu, hupati hata nguvu ya kuipa memo, badala yake una deal nayo mwenyewe
 
K Kwan kukumbushiana kuna shida gani?ni bora shetan unajua kulikon malaika ambaye humjui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…