Hivi kuna aliemwelewa Mangungu kwenye interview yake leo pale Sports Extra ya Clouds FM?

Hivi kuna aliemwelewa Mangungu kwenye interview yake leo pale Sports Extra ya Clouds FM?

Heavy Metal

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2017
Posts
881
Reaction score
2,077
Usiku wa leo kwenye kipindi cha Sports Extra ya Clouds FM mwenyekiti wa Simba upande wa wanachama alikua anhojiwa mambo mbalimbali kuhusu mwenendo wa klabu ya Simba na kile kinachoendelea sasa hivi ndani ya klabu hiyo.

Watangazji Biko Scanda, Shaffih Dauda na Alex Lwambano walikua wanaongoza mahojiano hayo. Nasikitika sijaelewa hasa kilikua kinazungumziwa nini maana interview haikua na mpangilio wa kueleweka mbaya zaidi hata Mangungu mwenyewe alikua anajibu kama vile kapewa script ya movie.

Nimegundua kua Shaffih ni mnafiki sana, kwenye page yake anaongea vitu tofauti lakini muhusika yuko nae studio anaogopa kumuhoji. Kwakifupi ni moja ya interview za hovyo kuwahi kutokea.

Interview haijajibu maswali mengi magumu na kiu ya mashabiki na wachama wa Simba na wadau wa mpira wa miguu hapa nchini kwa ujumla. Kuna aliemwelewa Mangungu leo?! Tutiririke hapo chini. Naomba kuwasilisha
 
Nilicho elewa ni kwamba yeye ndio alie mleta jobe
GP3uCODXYAATIY0.jpeg
 
Usiku wa leo kwenye kipindi cha Sports Extra ya Clouds FM mwenyekiti wa Simba upande wa wanachama alikua anhojiwa mambo mbalimbali kuhusu mwenendo wa klabu ya Simba na kile kinachoendelea sasa hivi ndani ya klabu hiyo. Watangazji Biko Scanda, Shaffih Dauda na Alex Lwambano walikua wanaongoza mahojiano hayo. Nasikitika sijaelewa hasa kilikua kinazungumziwa nini maana interview haikua na mpangilio wa kueleweka mbaya zaidi hata Mangungu mwenyewe alikua anajibu kama vile kapewa script ya movie. Nimegundua kua Shaffih ni mnafiki sana, kwenye page yake anaongea vitu tofauti lakini muhusika yuko nae studio anaogopa kumuhoji. Kwakifupi ni moja ya interview za hovyo kuwahi kutokea. Interview haijajibu maswali mengi magumu na kiu ya mashabiki na wachama wa Simba na wadau wa mpira wa miguu hapa nchini kwa ujumla. Kuna aliemwelewa Mangungu leo?! Tutiririke hapo chini. Naomba kuwasilisha
Chura wa mo,mangungu ni mwenyekiti halali wa Simba
 
watangazaji wa clouds media wale elimu amna, vichwa empty unategemea mtu aende clouds atoe majibu.

kuna vibe tu clouds ila presenters elimu awana ni watu wa mtaani wamepewa mic 😂😂

mimi leo nimeangaliwa it's shameful. vichwa maji, mambo ya msingi awaulizi. ni umbea. kama awaja jiandaa na kipindi. no research. no nothing,

clouds media ni ya watu mbumbumbu aisee
 
Tumemwelewa.
Sisi mbumbumbu hatumyaki mo
 
Icho Kibabu Kinatumika.....

Na chenyewe Kijiuzuru tu....

Si Kilikuwemo miaka mi 3 ambayo Simba inashutumiwa Haijafanya Vyema? Japo bado ipo 10 bora Afrika?
 
Icho Kibabu Kinatumika.....

Na chenyewe Kijiuzuru tu....

Si Kilikuwemo miaka mi 3 ambayo Simba inashutumiwa Haijafanya Vyema? Japo bado ipo 10 bora Afrika?
Simba haijafanya vyema vip wakati ilipata nafasi ya pili na kwenda Kimataifa
Haya ajiuzulu ww ugombee
 
Usiku wa leo kwenye kipindi cha Sports Extra ya Clouds FM mwenyekiti wa Simba upande wa wanachama alikua anhojiwa mambo mbalimbali kuhusu mwenendo wa klabu ya Simba na kile kinachoendelea sasa hivi ndani ya klabu hiyo. Watangazji Biko Scanda, Shaffih Dauda na Alex Lwambano walikua wanaongoza mahojiano hayo. Nasikitika sijaelewa hasa kilikua kinazungumziwa nini maana interview haikua na mpangilio wa kueleweka mbaya zaidi hata Mangungu mwenyewe alikua anajibu kama vile kapewa script ya movie. Nimegundua kua Shaffih ni mnafiki sana, kwenye page yake anaongea vitu tofauti lakini muhusika yuko nae studio anaogopa kumuhoji. Kwakifupi ni moja ya interview za hovyo kuwahi kutokea. Interview haijajibu maswali mengi magumu na kiu ya mashabiki na wachama wa Simba na wadau wa mpira wa miguu hapa nchini kwa ujumla. Kuna aliemwelewa Mangungu leo?! Tutiririke hapo chini. Naomba kuwasilisha
Waandishi wa bongo ni bure kabisa hata mimi sijawelewa sababu hata mpangilio wa maswali ulikuwa hivyo kabisa.
 
Waandishi wa bongo ni bure kabisa hata mimi sijawelewa sababu hata mpangilio wa maswali ulikuwa hivyo kabisa.
wale wote awana elimu, poor professionalism, clouds media yote. vichwa ni maji.
 
Nimemsikia. Hakuna kitu pale. Empty head. Trush bin.
 
watangazaji wa clouds media wale elimu amna, vichwa empty unategemea mtu aende clouds atoe majibu.

kuna vibe tu clouds ila presenters elimu awana ni watu wa mtaani wamepewa mic 😂😂

mimi leo nimeangaliwa it's shameful. vichwa maji, mambo ya msingi awaulizi. ni umbea. kama awaja jiandaa na kipindi. no research. no nothing,

clouds media ni ya watu mbumbumbu aisee
Samahani mkuu kwa mwandiko wako huu basi nchi ipo katika msiba wa elimu.
 
Mzee kaeleweka vizuri

Mo kashanunua timu kama hamtaki mumrudishie pesa yake!!!
 
Back
Top Bottom