Hivi kuna aliemwelewa Mangungu kwenye interview yake leo pale Sports Extra ya Clouds FM?

Hivi kuna aliemwelewa Mangungu kwenye interview yake leo pale Sports Extra ya Clouds FM?

Mangungu Wanasimba wote tuko nyuma yako, Glezabhai msanii atuachie timu
 
Mangungu Wanasimba wote tuko nyuma yako, Glezabhai msanii atuachie timu
Mna pesa ya kuendesha timu au mnataka kurudi kule kwenye kuchangisha pesa kwa ajili ya kuwanunulia wachezaji chapati? Timu hazina vyanzo vya uhakika vya fedha, muacheni Mo.
 
Mna pesa ya kuendesha timu au mnataka kurudi kule kwenye kuchangisha pesa kwa ajili ya kuwanunulia wachezaji chapati? Timu hazina vyanzo vya uhakika vya fedha, muacheni Mo.
Ukiona mshabiki anasema yupo na mangungu jua huyo Ni yanga,hawamtaki mo arudi Kama mwenyekiti wa body
 
Sema tu ulitaka kusikia akimuongelea vibaya Mo na kukoleza mgogoro, hata shaffih alitegemea hivyo, ndo maana unasema aujamuelewa,

Simba Ipo Imara
 
Nilimsikiliza kiukweli nimebaki kushangaa. Hivi mtu wa vile anaweza vp kuongoza timu kama simba hata kwa masaa mawili? Yuko defensive kwenye kujibu maswali, vitisho na uswahili mwingi. Ni kama hadi waliokuwa wanamuhoji walibaki mdomo wazi ikabidi mahojiano yaishe haraka kinyume na matarajio.
 
watangazaji wa clouds media wale elimu amna, vichwa empty unategemea mtu aende clouds atoe majibu.

kuna vibe tu clouds ila presenters elimu awana ni watu wa mtaani wamepewa mic 😂😂

mimi leo nimeangaliwa it's shameful. vichwa maji, mambo ya msingi awaulizi. ni umbea. kama awaja jiandaa na kipindi. no research. no nothing,

clouds media ni ya watu mbumbumbu aisee
Wewe ulisoma wapi unaandika Awana limu,awaulizi nk.Hiyo ni lugha gani?
 
Hata kuongea tuu kama kiongozi hajui akiwa anaongea unaweza kudhani ni mzee wa kwenye vijiwe vya kahawa kazee kamejaa majibu ya jeuri na kiburi sana shenzi zake, kuna siku hata vikosi vya uokoaji vitashindwa kumchomoa mikononi mwa raia
Vipi alipowaletea Caesar Manzoki siku ile ya uchaguzi ili kuwasalimia wanachama!! Jakika mlifurahi kweli kweli! Na kura zote mkaamua kumpa yeye! 😁
 
watangazaji wa clouds media wale elimu amna, vichwa empty unategemea mtu aende clouds atoe majibu.

kuna vibe tu clouds ila presenters elimu awana ni watu wa mtaani wamepewa mic 😂😂

mimi leo nimeangaliwa it's shameful. vichwa maji, mambo ya msingi awaulizi. ni umbea. kama awaja jiandaa na kipindi. no research. no nothing,

clouds media ni ya watu mbumbumbu aisee
Shaffi Dauda kuna kipindi nilikuwa namwona pale Twiga Bank (Bank iliyovunjwa), sijui siku hizi yuko wapi. Mwenye uelewa wa fani aliyosomea Shaffi Dauda atujulishe tafadhali. Halafu ndio tuendelee na mjadala.
 
Vipi alipowaletea Caesar Manzoki siku ile ya uchaguzi ili kuwasalimia wanachama!! Jakika mlifurahi kweli kweli! Na kura zote mkaamua kumpa yeye! 😁
Hakuna chochote unachokijua kuhusiana na hilo 🚮🚮
 
Shida yake anapenda kujjtetea kwa nguvu kubwa ... Anaulizwa hiki yeye badala yakujibu anabishana, na hiyo ndiyo style yake .

Hajui kama anajiaibisha .
 
Usiku wa leo kwenye kipindi cha Sports Extra ya Clouds FM mwenyekiti wa Simba upande wa wanachama alikua anhojiwa mambo mbalimbali kuhusu mwenendo wa klabu ya Simba na kile kinachoendelea sasa hivi ndani ya klabu hiyo.

Watangazji Biko Scanda, Shaffih Dauda na Alex Lwambano walikua wanaongoza mahojiano hayo. Nasikitika sijaelewa hasa kilikua kinazungumziwa nini maana interview haikua na mpangilio wa kueleweka mbaya zaidi hata Mangungu mwenyewe alikua anajibu kama vile kapewa script ya movie.

Nimegundua kua Shaffih ni mnafiki sana, kwenye page yake anaongea vitu tofauti lakini muhusika yuko nae studio anaogopa kumuhoji. Kwakifupi ni moja ya interview za hovyo kuwahi kutokea.

Interview haijajibu maswali mengi magumu na kiu ya mashabiki na wachama wa Simba na wadau wa mpira wa miguu hapa nchini kwa ujumla. Kuna aliemwelewa Mangungu leo?! Tutiririke hapo chini. Naomba kuwasilishaT
 
Shida yake anapenda kujjtetea kwa nguvu kubwa ... Anaulizwa hiki yeye badala yakujibu anabishana, na hiyo ndiyo style yake .

Hajui kama anajiaibisha .
Usiku wa leo kwenye kipindi cha Sports Extra ya Clouds FM mwenyekiti wa Simba upande wa wanachama alikua anhojiwa mambo mbalimbali kuhusu mwenendo wa klabu ya Simba na kile kinachoendelea sasa hivi ndani ya klabu hiyo.

Watangazji Biko Scanda, Shaffih Dauda na Alex Lwambano walikua wanaongoza mahojiano hayo. Nasikitika sijaelewa hasa kilikua kinazungumziwa nini maana interview haikua na mpangilio wa kueleweka mbaya zaidi hata Mangungu mwenyewe alikua anajibu kama vile kapewa script ya movie.

Nimegundua kua Shaffih ni mnafiki sana, kwenye page yake anaongea vitu tofauti lakini muhusika yuko nae studio anaogopa kumuhoji. Kwakifupi ni moja ya interview za hovyo kuwahi kutokea.

Interview haijajibu maswali mengi magumu na kiu ya mashabiki na wachama wa Simba na wadau wa mpira wa miguu hapa nchini kwa ujumla. Kuna aliemwelewa Mangungu leo?! Tutiririke hapo chini. Naomba kuwasilisha
Kwanza alitakiwa atueleze Manzoki yuko wapi halafu ndipo aje na hizo porojo zake. Mangungo ni tapeli.
 
Ameeleweka vizuri tu.. Tatizo ya njaa ya Watz tunaona kama amekosea.

Najiuliza kuna aliyemuelewa Mo na Try again??
 
Shafih dauda amekuwa dalali siku hizi ndio maana amekuwa bendera fuata upepo.
 
Back
Top Bottom