Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,112
- 4,361
Habari ya mchana wakuuu,
Nauliza kuna mtu yeyote alifanikiwa kujaza hii fomu ya sensa?
Alitumia njia ipi kama nyepesi, maana tunajaza lakini unapotaka kuituma ndio mauzauza yanakuja.
Mimi natumia simu, hivyo basi kama kuna mtu amefanikiwa basi si haba kutupa mbinu mbadala
Nauliza kuna mtu yeyote alifanikiwa kujaza hii fomu ya sensa?
Alitumia njia ipi kama nyepesi, maana tunajaza lakini unapotaka kuituma ndio mauzauza yanakuja.
Mimi natumia simu, hivyo basi kama kuna mtu amefanikiwa basi si haba kutupa mbinu mbadala