Hivi kuna aliyefanikiwa kutuma maombi ya sensa?

Hivi kuna aliyefanikiwa kutuma maombi ya sensa?

Umeelewa swali ?

Nasema unaweza ku print kwenye simu ukapata hard copy Hapo nyumbani .

Maana nimenukuu kauli yako ukimwambia jamaa ukiwa na simu sio lazima kwenda stationary
sikuwa nimekuelewa vizuri mkuu ila naiman muuliza swali ilinielewa vizuri.... kuprint lazima uprint stationary
😂😂😂Suala sio simu kuweza ku-print suala ni access ya hiyo Printer wengi hatuna zipo Stationary Sasa ufanya na simu yako alafu kwenye hatua ya ku-print unapangusa makalio unaenda Stationary ku-print si kuruka mkojo kukanyaga mavi...Bora tu kufanyia na computer hukohuko stationary
nimerudi kusema tena nimekuelewa ila huoni kama itasevu senti kadhaa endapo process zote ukamalizia kwenye simu!!? maana stationary hawatatokudai printing tuwatataka na scanning na mamb mengine
 
Nimekwama naingia username na password inakataaa.mnanisaidiaje mana namba za nbs hasipatikani zote na zikipatikana ni busy mwanzo mwisho.msaada.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Hahahahaaaaaaaaaa

Unasubiri dakika za mwisho.


Achana nayo hiyo maana hutamkuta Mtendaji ofisini.

Ukimkuta utasainiwa ku_upload itagoma.....utabaki nayo kama kumbukumbu kwa wanao.
 
sikuwa nimekuelewa vizuri mkuu ila naiman muuliza swali ilinielewa vizuri.... kuprint lazima uprint stationary

nimerudi kusema tena nimekuelewa ila huoni kama itasevu senti kadhaa endapo process zote ukamalizia kwenye simu!!? maana stationary hawatatokudai printing tuwatataka na scanning na mamb mengine
Kwa taarifa yako ni kwamba simu zinascan pdf vizuri sana
 
NBS hawajaweka wazi sana, lakini kwa dosari za uombaji walizoziorodhesha juzi juzi, nimegundua kuwa mdhamini anatakiwa awe amejisajili NIDA pia ili fingerprints zake zisomeke jina lake
Ndugu kwakweli nimehangaika kuingia kwenye hiyo website yao kwakutumia simu lakini wapi nimejaribu kusoma comment za wadau hapa maswali yao na jinsi navyo fanya ni tofauti inamana mimi nipo OP kabisa ..... angalieni wadau nime kwamia hapa [emoji116][emoji116][emoji116]
Screenshot_20220518-153539_Chrome.jpg
 
Umeelewa swali ?

Nasema unaweza ku print kwenye simu ukapata hard copy Hapo nyumbani .

Maana nimenukuu kauli yako ukimwambia jamaa ukiwa na simu sio lazima kwenda stationary
Aisee Bora umenisaidia kumjibu maana jamaa pale juu kaniita Nina kichwa kigumu wakati ilibidi mimi ndio ilibidi nimwite yeye.
 
sikuwa nimekuelewa vizuri mkuu ila naiman muuliza swali ilinielewa vizuri.... kuprint lazima uprint stationary

nimerudi kusema tena nimekuelewa ila huoni kama itasevu senti kadhaa endapo process zote ukamalizia kwenye simu!!? maana stationary hawatatokudai printing tuwatataka na scanning na mamb mengine
aah kumbe umeshaelewa, hapo sawa kwenye ku-save nakuunga mkono nachoshukuru umesoma hoja kwa umakini Sasa.
 
we jamaa kichwa chako ni kigumu sana kuelewa aisee[emoji23][emoji23][emoji23] nimekwambia simu inaprint kama kawaida yaan process zote unamaliza kwenye simu haugusi stationary na hayo makalio yako

Hahahaha watu humu mna maneno jamani
 
Back
Top Bottom