Kasave na pesa pia ya stationary[emoji23][emoji23][emoji23]Suala sio simu kuweza ku-print suala ni access ya hiyo Printer wengi hatuna zipo Stationary Sasa ufanya na simu yako alafu kwenye hatua ya ku-print unapangusa makalio unaenda Stationary ku-print si kuruka mkojo kukanyaga mavi...Bora tu kufanyia na computer hukohuko stationary.
we jamaa kichwa chako ni kigumu sana kuelewa aisee😂😂😂 nimekwambia simu inaprint kama kawaida yaan process zote unamaliza kwenye simu haugusi stationary na hayo makalio yako😂😂😂Suala sio simu kuweza ku-print suala ni access ya hiyo Printer wengi hatuna zipo Stationary Sasa ufanya na simu yako alafu kwenye hatua ya ku-print unapangusa makalio unaenda Stationary ku-print si kuruka mkojo kukanyaga mavi...Bora tu kufanyia na computer hukohuko stationary.
hajaelewa huyu nimemueleza process zote unaweza fanya kwenye simu yeye anakaza kichwaKasave na pesa pia ya stationary
Ivi mkuu ukitaka kubadili wadhamini inawezekana?Ile form ukiijaza unaipakua kisha inaenda kuwekwa dole gumba za wadhamini wako na muhuri wa mtendaji kisha unaipakia tena kwenye site yao
Unayo machine ya ku printia kiongozi ?we jamaa kichwa chako ni kigumu sana kuelewa aisee[emoji23][emoji23][emoji23] nimekwambia simu inaprint kama kawaida yaan process zote unamaliza kwenye simu haugusi stationary na hayo makalio yako
Inawezekana, ila upakue ile fomu iliyoandikwa 'fomu ambayo haijasainiwa', ujaze wadhamini wapya na kuipeleka serikali ya mtaa/kata ikasainiwe tena, uje kwenye mfumo ubonyeze 'Huisha (update) kiambatanisho', chagua aina ya kiambatanisho (Fomu Na. 1 iliyosainiwa) uiweke hiyo mpya, itaireplace ile ya zamaniIvi mkuu ukitaka kubadili wadhamini inawezekana?
mkuu ile form unaprint vizuri tuUnayo machine ya ku printia kiongoz
umeona hizo screenshots hapo chini!!? sio mnabisha tu kwamba kwenye simu haiwezekani... alafu kwenye uzoefu na smartphone mmeweka zaid ya mwaka mmoja.... muda mwingine ni bora umuulize mtu unafanyaje kuliko kusema haiwezekaniUnayo machine ya ku printia kiongozi ?
nadhani inawezekana hebu fata maelekezo ya huyo jamaa juu hapoIvi mkuu ukitaka kubadili wadhamini inawezekana?
copy vizuri ile password waliyokutumia kama unaiandika badala kukopy hakikisha unado the same kwenye uppercase weka uppercase kwenye lowercase weka lowercase mkuuNimekwama naingia username na password inakataaa.mnanisaidiaje mana namba za nbs hasipatikani zote na zikipatikana ni busy mwanzo mwisho.msaada.
Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Mkuu samahani....Inawezekana, ila upakue ile fomu iliyoandikwa 'fomu ambayo haijasainiwa', ujaze wadhamini wapya na kuipeleka serikali ya mtaa/kata ikasainiwe tena, uje kwenye mfumo ubonyeze 'Huisha (update) kiambatanisho', chagua aina ya kiambatanisho (Fomu Na. 1 iliyosainiwa) uiweke hiyo mpya, itaireplace ile ya zamani
Mkuu samahani....nadhani inawezekana hebu fata maelekezo ya huyo jamaa juu hapo
nadhani itakuwa vyema sana kuhusu hili mkuu maana hii ya pili ndo inayoenda kufanyiwa assessment japo ile ya kwanza itakuwa kama reference lakini nadhani kwa kufanya hivyo hakutkkuwa na shida yoyoteMkuu samahani....
Kwa hiyo nikishaipakua ,nikate Kwa pen wale wadhamini wazamani then niwaandike hao wapya??
Maana imeshawaandika pale system yenyewe kwenye Ile fomu niliyoidawnlodi.
huna wadhamini kivipi mkuu!!? wakati kuna wakinaMimi sina wadhamini toka juzi nimehqngqika kuingia kwenye hiyo website nimeshindwa hadi nimekqta tamaa
Sasa ndio nimekupata, maana nadhani sikukupata vizuri mwanzo. Hiyo ngoma nimenyoosha mikono. Baada ya kukuelewa nilitaka nishauri ujaze upya kabisa maana e-mail na namba ya simu unaweza kutumia nyingine, ila sina uhakika kama namba ya NIDA itasababisha ukwame au la, kwa kuwa itakuwa inasomeka kwamba imetumika tayariMkuu samahani....
Kwa hiyo nikishaipakua ,nikate Kwa pen wale wadhamini wazamani then niwaandike hao wapya??
Umeelewa swali ?mkuu ile form unaprint vizuri tu
umeona hizo screenshots hapo chini!!? sio mnabisha tu kwamba kwenye simu haiwezekani... alafu kwenye uzoefu na smartphone mmeweka zaid ya mwaka mmoja.... muda mwingine ni bora umuulize mtu unafanyaje kuliko kusema haiwezekani
View attachment 2230265
View attachment 2230266
Ewala hilo ndo kitu kimenipa changamoto kubwa Sana mkuu nikajikuta nimekata tamaa Tu maana kule kwenye mfumo huwezi kuedit hizo taarifa za wadhamini.... hapo ndo kasheshe ikaja.Sasa ndio nimekupata, maana nadhani sikukupata vizuri mwanzo. Hiyo ngoma nimenyoosha mikono. Baada ya kukuelewa nilitaka nishauri ujaze upya kabisa maana e-mail na namba ya simu unaweza kutumia nyingine, ila sina uhakika kama namba ya NIDA itasababisha ukwame au la, kwa kuwa itakuwa inasomeka kwamba imetumika tayari
sikuwa nimekuelewa vizuri mkuu ila naiman muuliza swali ilinielewa vizuri.... kuprint lazima uprint stationaryUmeelewa swali ?
Nasema unaweza ku print kwenye simu ukapata hard copy Hapo nyumbani .
Maana nimenukuu kauli yako ukimwambia jamaa ukiwa na simu sio lazima kwenda stationary
Sawa jaribu kubadili e-mail na namba ya simuEwala hilo ndo kitu kimenipa changamoto kubwa Sana mkuu nikajikuta nimekata tamaa Tu maana kule kwenye mfumo huwezi kuedit hizo taarifa za wadhamini.... hapo ndo kasheshe ikaja.
Ngoja nijaribu hiyo option ya pili mkuu nione.