Hivi kuna CHADEMA kama chama cha siasa au ni chawa wa chama kilichopo madarakani?

Hivi kuna CHADEMA kama chama cha siasa au ni chawa wa chama kilichopo madarakani?

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Ukifuatilia nyendo za Viongozi Wakuu wa CHADEMA unaona kabisa ni wazi tena kwa makusudi wameamua wawe chawa wa Samia (wa CCM) wakidhani wanamkomoa Hayati Magufuli kwa kile wao hudhani na kuamini eti aliwanyanyasa kwenye harakati zao wakati yeye alipokuwa na Mamlaka 😄.

Binafsi, napatwa na wasiwasi kukihusu hicho chama hasa baadhi ya Viongozi wake Wakuu kuendekeza sifa za u-uchawa na huenda wanasahau wajibu wao wa ki imani, itikadi na sera za wao kama chama cha upinzani walizopata kuwaambukiza wafuasi wao hali inayopelekea wahisi kusalitiwa!

Ipi agenda yao ndani ya u-chawa wao kwa Samia (CCM)?
 
Subiri hapo hapo wakati makamanda wanajiandaa kuja kukujibu.

Ila nina swali nje ya mada; katika maisha yako yote, umeshawahi kulamba buyu lililojaa asali? Kama hujawahi, basi jaribu siku moja! Halafu uone matokeo yake.
 
Tusisahau kuwa wale walioanzisha hivyo vyama vya upinzani ni walewale waliokuwa chama tawala.
 
Ukifuatilia nyendo za Viongozi wakuu wa Chadema unaona kabisa ni wazi tena kwa makusudi wameamua wawe chawa wa Samia (wa CCM) wakidhani wanamkomoa mfu Magufuli kwa kile wao hudhani na kuamini eti aliwanyanyasa kwenye harakati zao wakati yeye alipokuwa na Mamlaka 😄.

Binafsi, napatwa na wasiwasi kukihusu hicho Chama hasa baadhi ya Viongozi wake wakuu kuendekeza sifa za u- uchawa na huenda wanasahau wajibu wao wa ki imani, itikadi na sera za wao kama Chama cha upinzani walizopata kuwaambukiza wafuasi wao hali inayopelekea wahisi kusalitiwa!

Ipi agenda yao ndani ya u chawa wao kwa Samia ( CCM)?!
Wewe kinakuuma nini? Acha wafanye inavyowapendeza. Hata hivyo, si ulikuwa ukishadidia kife enzi zile? Unajifanya kujiuliza nini? Mnafiki mkubwa wewe.
 
Ukifuatilia nyendo za Viongozi wakuu wa Chadema unaona kabisa ni wazi tena kwa makusudi wameamua wawe chawa wa Samia (wa CCM) wakidhani wanamkomoa mfu Magufuli kwa kile wao hudhani na kuamini eti aliwanyanyasa kwenye harakati zao wakati yeye alipokuwa na Mamlaka [emoji1].

Binafsi, napatwa na wasiwasi kukihusu hicho Chama hasa baadhi ya Viongozi wake wakuu kuendekeza sifa za u- uchawa na huenda wanasahau wajibu wao wa ki imani, itikadi na sera za wao kama Chama cha upinzani walizopata kuwaambukiza wafuasi wao hali inayopelekea wahisi kusalitiwa!

Ipi agenda yao ndani ya u chawa wao kwa Samia ( CCM)?!
Aliyekuloga kabla hajafa aliwaapiza wasaidizi wake kwamba wasithubutu kukuokoa
 
CDM inangojea kuzaliwa upya 2025. Kwasasa hawana la kufanya zaidi ya kungojea katiba mpya na uchaguzi wa 2025.

Hopefully Mbowe atakaa pembeni by then.
 
Ukifuatilia nyendo za Viongozi wakuu wa Chadema unaona kabisa ni wazi tena kwa makusudi wameamua wawe chawa wa Samia (wa CCM) wakidhani wanamkomoa mfu Magufuli kwa kile wao hudhani na kuamini eti aliwanyanyasa kwenye harakati zao wakati yeye alipokuwa na Mamlaka 😄.

Binafsi, napatwa na wasiwasi kukihusu hicho Chama hasa baadhi ya Viongozi wake wakuu kuendekeza sifa za u- uchawa na huenda wanasahau wajibu wao wa ki imani, itikadi na sera za wao kama Chama cha upinzani walizopata kuwaambukiza wafuasi wao hali inayopelekea wahisi kusalitiwa!

Ipi agenda yao ndani ya u chawa wao kwa Samia ( CCM)?!
Awamu ya Tano walilazwa Njaa balaa ndo maana wanamchukia magu, walikuwa na mikopo bank kibao walikuwa hawajui watalipaje.

Sasa BibTozo kaingia anajua fika kqbisa wananjaa mithili ya mbwa amabaye hajala siku Tatu anawamwagia mapesa ili wanayamaze na wamenyamaza kwelikweli.

Wapinzani WA TZ Wapo Kwa ajili ya matumbo Yao na familia Zao. Kuhusu maslahi ya nchi hilo sahahu, mwenye uchungu na nchi Hii atakuja Kutokea hukohuko CCM siyo Akina MBOWE.
 
Unataka wafanyaje?
Waitishe migomo?
Wapambane na polisi?
Waandamane bila kikomo?
Washushe bendera za CCM?
Funguka
 
Back
Top Bottom