Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakina Dr. Slaa, Tundu Lissu, Mwabukusi, Mdude, Mpina wakienda kuteka moja ya vyama dhaifu kama UDP au hata CHAUMMA wanaweza kuchukua hii Nchi kwasasa CCM siyo tena chama cha siasa hakina wanachama wakutosha kimejaa watu maslahi.Huwa najiuliza ni chama ganii chenye uwezo wa kuitoa CCM madarakani, kwa sababu CCM ni kama Mandonga Ukimshinda ni kama amekushinda, na akishinda ameshinda.
Namuomba Mungu anijalie afya njema ili siku moja niweze kushuhudia kwa macho yangu CCM ikipigwa knockout na chama chochote cha upinzani.
Ungekuwa unajua Mungu yupo usingesema haya,Mungu akiamua kila kitu kinawezekana.hata watoa taarifa wote wakiungana hawatafua dafu.
Yaani miongoni mwa mambo ambayo hayawezekani duniani basi ni pamoja na hiki....
Kwahiyo Mungu ni wakwako Pekeyako right?Ungekuwa unajua Mungu yupo usingesema haya,Mungu akiamua kila kitu kinawezekana.
CHADEMA wataiondoa CCM madarakani.Chadema, ACT wazalendo, NCCR Mageuzi, TLP, CUF nk
Mkuu unawaza kwa kutumia Nini? Unadhani hiyo race itakufa lini? We huoni kbs hao watu wanalisishana kizazi kwenda kizazi?Kuna race ndani ya ccm wakishakufa wote chama kitaaondoka bila chenga
Kikwete race
Makamba race
Kinana race
Rostam race
Mwinyi race
Nape race
Hawa wote wanakilinda chama ili kiwalinde uchafu wao waliotuibia umma hivyo hutumia nguvu kubwa mno........soon