Thecoder
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,590
- 4,244
Sana yani... Ilikua ya moto sana ile ngoma.Hakika mkuu ngoma 2002 lkn kuna madogo hadi wa 2010 wanabaengi nayo ninyamwez
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana yani... Ilikua ya moto sana ile ngoma.Hakika mkuu ngoma 2002 lkn kuna madogo hadi wa 2010 wanabaengi nayo ninyamwez
Na enzi izo viewers YouTube hawatolewi macho......Hii nadhani ndio collaboration bora ya muda wote kwangu Mimi.
Ndio maana hata muziki haukuwa kama big G kwa maana siku hizi watu wanafanya muziki kama contents, wapate viewers ili wapate pesa... Hata hapa nyumbani ukiskiliza nyimbo za zamani na za sasa unaona kabisa kuna utofauti mkubwa.Na enzi izo viewers YouTube hawatolewi macho......
Kuna Ile ngoma ya LL COOL J & JENNIFER LOPEZ "ALL I HAVE"Fat Joe what's love
Ja rule always on time
Nelly dillema