Hivi kuna dawa ya kuacha ushoga?

Hamna namna, kuiona kwa nia njema sidhani kama ni shida, ila mtu age ya 28 sio kazi ndogo aisee, yaani ni mtu mzima kabisa alifanya maamuzi yote na kuyamaliza, wacheze pole wanaweza kusikia ka-commit suicide!
kabisa waende naye pole pole la sivyo atajisogeza
 
Yeye yupo tayari kuacha? Tusije tukafanya kazi ya kumshauri Chid Benzi mdogo
 


Hawa ni transexual walikuwa waume sasa wanapouse kama wanawake. Singapore.
 
duh yaani hapo tusipende mzaa kwa kuchangia uzii huu ,wtz wengi tunapenda mambo
kuchukulia kwa mzaha mzaha tu.
wengine wanakejeli, wengine wanaomba namba zake sijui ndo walele wameonyeshwa asali ilipo

kwanza pole kwa huyo ndugu yako kupatwa na hilo tatizo,
hapo kubwa zaidi ni kwamba ''yale malinda tayali yameshatatuliwa ina maana kinachomsumbua ni kale kamwasho muwasho anapenda kukunwa,
na hapa inahitaji mbinu mbadala ya kurejesha malinda yake kama awali,

kaa uongee nae akikubali aanze tiba ya majani ya Mgagani pamoja na maji ya moto,
majani hayo yanapatikana sehemu za nyuma ya nyumba,au uwani anakanda akimaliza anaweka, kwenye haja kubwa ndani ya week mbili malinda yanaludi upyaa na kudindisha kunarudi palepale,
msaada wangu ndo huo
 

Attachments

  • 11324976_483523931805599_2142755861_n.jpg
    14.9 KB · Views: 302
ni kwel kbs
naare mndu
 
kiukwel boarding ndo zinawaharibu
 
Ningekushauri muende hospital hilo tatizo litaisha. Ninasikiaga watu hao wanapigwaga bomba kuondoa mauchafu yote huko nyuma na baada ya hapo anakuwa yupo fresh.
watu wengine bwana hawapendi kuachwa nyuma, akisafishwa si ndo anaongezewa hamu! anaanza upya, du ushoga ingekuwa inawezekana kuuacha kirahisi hivyo tungewabeba kina delicious wakapigwe bomba ili iwe basi, ushoga usikie hivyohivyo kwa jirani
 
mashehe na mapadri ndio wafrj wakubwa tuombe mungu awaokoe vijana wetu ili koo zetu ziendelee
 
Aokoke ampe Bwana Yesu Maisha yake 100% atarudi normal. Pia ataweza kuwa huru kukuhadithieni the history nzima ya hilo tatizo.kazi kwako kuchukua hatua
Kumpokea Yesu pekee bado msidanganye watu, huyo apatiwe msaada wa kisaikolojia
 
Kuna wanaopumuliwa sababu ya umaskini bro.

Huoni mashoga wengine wanapumuliwa na vigogo tu, wanapangishiwa nyumba na kupewa mahitajai yote na mabasha wao ingekuwa sio umaskini wasingefanya hivyo bro.
Ishu kama hiyo ni hulka na tamaa wanapenda expensive things hawawez kuafford afu hawataki kuchoka
 
Mkuu, kuna watt niliona social networks wanahojiwa na waalimu wao. You cant imagine watt wa drs la 3-4 wanageuzana wao kwao

Sasa chakujiuliza, wamejifunza huo mchezo wapi
Mwenyezi Mungu atusaidie kuwalinda watoto wetu....[emoji25]
 
Ningekushauri muende hospital hilo tatizo litaisha. Ninasikiaga watu hao wanapigwaga bomba kuondoa mauchafu yote huko nyuma na baada ya hapo anakuwa yupo fresh.
Mhhh sio kweli huwa wanauwezo wa kumuwahi kabla hajabalehe lakini akishabalehe ni ngumu
 
Inawezekana tuu simpo Dawa ni kumleta Kwa Yesu hilo ni pepo Hakuna Dawa Wala ushauri nasaha hapo.. .aombewe kwanza then akisha funguliwa amue kumfuata Yesu awe Bwana Na Mwokozi wake. Hakuna jambo gumu kwake Yesu.. Hope umenielewa
 
Nafikili counselling ndio itaweza kumsaidia ila kitu cha kwanza akubali ana tatizo na anahitaji msaada wa kuacha vinginevyo itakuwa kazi bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…