Hivi kuna dawa ya kuacha ushoga?

Aisee kumbe watu wamehangaika sana na hili janga la ushoga.
 
BI mkubwa ushaambiwa hana kazi itakuwa anakaa kwa nyumba ya Baba na Mama msaidie basi

Kutokuwa na kazi si sababu ya kukaa kwa baba na mama.

Usipende kurukia vitu, kasome vizuri, baba yao hayupo.

Swali nililouliza lina maana sana kwa anaeelewa.
 
Hakuna anaeanza ushoga ukubwani na hakuna anae acha ukubwani bila ya Yesu kuingilia kati
 
Kutokuwa na kazi si sababu ya kukaa kwa baba na mama.

Usipende kurukia vitu, kasome vizuri, baba yao hayupo.

Swali nililouliza lina maana sana kwa anaeelewa.
Wewe tuliza akili mpe ushauri basi manake unaonekana umekula chumvi nyingi hawezi kosa neno la matumaini wazee wa siku hizi wabiishii sijui kwa nini
 
Mkuu, unaonaje sasa hii tiba yako ufanye watu wengi waijue?!

Maana naamini kunao watu hawakupenda na wanatamani kuacha ila labda kuona jamii itawaonaje (aibu).



Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
 

Hilo la boarding sasa limehamia mpaka shule za Day.

Jamani wazuieni watoto kutazama vipindi vya katuni na vya watoto vya nje, hususan zinazotolewa USA. Vinaharibu watoto makusudi (brainwashed) wanakuwa kama misukule ya ngono za jinsi moja.
 
ushoga ni roho na hakuna namna nyingine ya kuacha ushoga zaidi ya msalaba wa Yesu Kristo. nenda youtube uangalie video nyingi TB JOSHUA MUNGU akimtumia kufungua watu wa aina hiyo. Poleni sana ila suluhisho ni BWANA YESU. ni PM NIKUELEKEZE KITU
 
Reactions: ghd
Inaonesha haja kubuhu hilo lakwanza kama amekubuhu kufanya huo uchafu mngejua kwa kumuona tu na tabia zake ila mmekuja kumjua kwa msg inaamaana anafanya kwa siri na kwa kujificha sana mpaka hapo mumshukuru Mungu hajafikia ktk hali hatarishi ya kutooana aibu mbele za watu so ni rahisi kupita kiasi huyo kuacha.

1. Kwa uhalisia ulivo na anafanya kwa siri tafuta mtu mzima atoke ktk koo yenu anaemuheshimu zaidi iwe ndo fimbo yake amuelimishe kiustaarabu hasara ya hiyo kitu na jinsi dini zinavokataza juu ya hilo swala na adhabu zake katika misingi ya dini.

2. Mtafutieni tiba ila ukae ukijua sio Kanisani wala msikitini wala hospitali inaweza kumsaidia kitiba ila Mitishamba na mambo ya Jadi yanasaidia kuwacha hiyo kitu mm nishaona watu zaidi ya kumi wakiacha hio issue.

3. Mtafutieni mke baada yakuhakikisha hayo ya juu yamepata muelekeo.
 
Mkuu hii tiba umeifanyia majaribio? Isije ikam-drive kubobea gomora!
 
Ushoga una DNA mkuu?
 
Nikisikia ndizi mbichi inachemshwa na maganda yake hlf anaingiziwa nyuma kwa sekunde 10 ndo dawa mzee mmoja hv mtu wa magari makubwa aliitoa kongo hiyo....am not sure km ina work
 
Hahahahaha dawa zingine noma sanaa
 
Kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…