nyanga kante
Member
- Jan 7, 2017
- 36
- 34
Ndoo ukubwa huo na pesa zinamnyemeleaJamani naomba msaada kuhusu hili, kuna rafiki yangu ana miaka 17 tu ila tayari ameshaanza kupata dalili za upaa kitu ambacho kimekua kikimletea msongo wa mawazo. Naomba kujua kama upaa una tiba au ukikupata tu ndo milele, na kama una tiba ni ipi?
Wigi au superblackJamani naomba msaada kuhusu hili, kuna rafiki yangu ana miaka 17 tu ila tayari ameshaanza kupata dalili za upaa kitu ambacho kimekua kikimletea msongo wa mawazo. Naomba kujua kama upaa una tiba au ukikupata tu ndo milele, na kama una tiba ni ipi?
Anataka aonekane kuwa bado ni kijanaSasa azuie upara ili nini??
utakuwa ni wewe tu, acha kumsingizia mwenzioJamani naomba msaada kuhusu hili, kuna rafiki yangu ana miaka 17 tu ila tayari ameshaanza kupata dalili za upaa kitu ambacho kimekua kikimletea msongo wa mawazo. Naomba kujua kama upaa una tiba au ukikupata tu ndo milele, na kama una tiba ni ipi?
Mmh hataki kukubaliana na matokeo ya ukuaji auAnataka aonekane kuwa bado ni kijana
Aiseee...ππππππππNAKUTAFUTIA NAMBA YA ROONEY HAPA...
Yan wengine tuna msongo wa mawazo ya kimaisha yeye ana msongo wa mawazo kwa SABABU YA UPARA...au kwa vile aliambiwa akili ni nywele!!!???
mbadilishane vichwaHuo nauhitaji Mimi! Gharama za kunyoa hasa kipindi hiki cha magu, zinanishinda!