mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Mwakalebela wa TFF ya tenga alikuwa makini ila huyu sijui nani kamloga?
Huyo devid mwakalebela alicheza timu ganii?Mwakalebela means badilika badilika..Huyu zamani alikuwa David mwakalebela na alikua na busara sana akicheza beki ya kulia baadae akabadilika akawa frederick mwakalebela akawa pale TFF baadae ubongo ukatikisika..akaenda yanga akiwa kama Dunia mwakalebela na baadae atabadilika ataenda lipuli kama mtozeni mwakalebela .. tuvute subira bado tutashuhudia miujiza sana toka kwa huyu kiumbe mweusi kama mkaa
Kweli ukiwa yanga lazima ujifyatue
Huyo devid mwakalebela alicheza timu ganii?
kuna wakati baadhi ya watu huonekana smart kwa kuwa wanakuwa nyuma watu smart lakini wanapokuwa peke yao na wanatakiwa kufanya wao maamuzi ndo unaona mapungufu yao lakini pia tuone labda kateleza kwa hili ya chamaHabari za mda huu wadau wa JFsport,
Naomba anaefahamu hili suala atudadavulie kidogo kuna mwakalebela wangapi hapa Tz? Je, huyu makamu mwenyekiti hovyo wa yanga ndio yule aliekuwa kijana smart pale TFF ya mzee Tenga? Kama ndio yeye kalishwa nini, mbona kawa mpuuzi hivi?
Hivi kweli yule mwakalebela wa TFF ya Tenga angeweza kufanya yafuatayo?
1/Kukataa nembo ya mdhamini kisa rangi nyekundu
2/Kumpa millage kubwa kit supplier kuliko main sponsors
3/Kumfukuza Zahera bila sababu
4/Kuongoza kundi la usajili ovyo ovyo bila maelekezo?
5/Kujihusisha na tetesi za usajili kabla ya dirisha (kesi ya Chama)
tz1Mwakalebela means badilika badilika..Huyu zamani alikuwa David mwakalebela na alikua na busara sana akicheza beki ya kulia baadae akabadilika akawa frederick mwakalebela akawa pale TFF baadae ubongo ukatikisika..akaenda yanga akiwa kama Dunia mwakalebela na baadae atabadilika ataenda lipuli kama mtozeni mwakalebela .. tuvute subira bado tutashuhudia miujiza sana toka kwa huyu kiumbe mweusi kama mkaa
Kwel tupuJamaa Bogus ....