mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Habari za mda huu wadau wa JFsport,
Naomba anaefahamu hili suala atudadavulie kidogo kuna mwakalebela wangapi hapa Tz? Je, huyu makamu mwenyekiti hovyo wa yanga ndio yule aliekuwa kijana smart pale TFF ya mzee Tenga? Kama ndio yeye kalishwa nini, mbona kawa mpuuzi hivi?
Hivi kweli yule mwakalebela wa TFF ya Tenga angeweza kufanya yafuatayo?
1/Kukataa nembo ya mdhamini kisa rangi nyekundu
2/Kumpa millage kubwa kit supplier kuliko main sponsors
3/Kumfukuza Zahera bila sababu
4/Kuongoza kundi la usajili ovyo ovyo bila maelekezo?
5/Kujihusisha na tetesi za usajili kabla ya dirisha (kesi ya Chama)
Naomba anaefahamu hili suala atudadavulie kidogo kuna mwakalebela wangapi hapa Tz? Je, huyu makamu mwenyekiti hovyo wa yanga ndio yule aliekuwa kijana smart pale TFF ya mzee Tenga? Kama ndio yeye kalishwa nini, mbona kawa mpuuzi hivi?
Hivi kweli yule mwakalebela wa TFF ya Tenga angeweza kufanya yafuatayo?
1/Kukataa nembo ya mdhamini kisa rangi nyekundu
2/Kumpa millage kubwa kit supplier kuliko main sponsors
3/Kumfukuza Zahera bila sababu
4/Kuongoza kundi la usajili ovyo ovyo bila maelekezo?
5/Kujihusisha na tetesi za usajili kabla ya dirisha (kesi ya Chama)