GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Dua la kuku[emoji1][emoji1]sawa
Buriani Geita GoldUzembe wetu na Kufungwa Kipumbavu na Azam FC Juzi umeshatugharimu na leo ndiyo tunaenda rasmi kuachwa kwa Alama ( Points ) Tatu ( 3 ) na Yanga SC.
Na hata Kesho kuna uwezekano Mtibwa Sugar FC nae akatudindia na gap likaendelea kuwa la Alama ( Points ) Tano ( 5 ) na ndiyo maana GENTAMYCINE kwa Kujiamini kabisa nasema kuwa hata Msimu huu Yanga SC wanaenda kuwa Mabingwa tena.
Imeisha hiyo.....!!!!!!
Buriani Geita Gold
Yani akiandika fact ndio anageuka mamluki?Wewe ni mamluki tu,unaipenda simba kinafiki ikiwa inashinda ikifungwa unajifanya mtabir,i si uchague moja uwe uto unawaona wamepatia maisha then uache kuwatuhumu wananunua mechi kama ile ya juzi uliyotabiri ingeisha kwa 2-0
Uchoyo wa Okra mechi ya Yanga, uzembe wa Israh mechi ya KMC vitaendelea kuitafuna simba mpaka huu mzunguko uisheUzembe wetu na Kufungwa Kipumbavu na Azam FC Juzi umeshatugharimu na leo ndiyo tunaenda rasmi kuachwa kwa Alama ( Points ) Tatu ( 3 ) na Yanga SC.
Na hata Kesho kuna uwezekano Mtibwa Sugar FC nae akatudindia na gap likaendelea kuwa la Alama ( Points ) Tano ( 5 ) na ndiyo maana GENTAMYCINE kwa Kujiamini kabisa nasema kuwa hata Msimu huu Yanga SC wanaenda kuwa Mabingwa tena.
Imeisha hiyo.....!!!!!!
Buriani Geita GoldUzembe wetu na Kufungwa Kipumbavu na Azam FC Juzi umeshatugharimu na leo ndiyo tunaenda rasmi kuachwa kwa Alama ( Points ) Tatu ( 3 ) na Yanga SC.
Na hata Kesho kuna uwezekano Mtibwa Sugar FC nae akatudindia na gap likaendelea kuwa la Alama ( Points ) Tano ( 5 ) na ndiyo maana GENTAMYCINE kwa Kujiamini kabisa nasema kuwa hata Msimu huu Yanga SC wanaenda kuwa Mabingwa tena.
Imeisha hiyo.....!!!!!!
Kwahiyo unataka Simba isifungwe kabisa? Kwani Azam unawachukuliaje mkuu,Uzembe wetu na Kufungwa Kipumbavu na Azam FC Juzi umeshatugharimu na leo ndiyo tunaenda rasmi kuachwa kwa Alama ( Points ) Tatu ( 3 ) na Yanga SC.
Na hata Kesho kuna uwezekano Mtibwa Sugar FC nae akatudindia na gap likaendelea kuwa la Alama ( Points ) Tano ( 5 ) na ndiyo maana GENTAMYCINE kwa Kujiamini kabisa nasema kuwa hata Msimu huu Yanga SC wanaenda kuwa Mabingwa tena.
Imeisha hiyo.....!!!!!!
Huyo dogo hajawai kuwa shabiki wa Simba Wala hata mpira wenyewe haujui, ni shabiki maandazi tu GENTAMYCINEWewe ni mamluki tu,unaipenda simba kinafiki ikiwa inashinda ikifungwa unajifanya mtabiri,si uchague moja uwe uto unawaona wamepatia maisha then uache kuwatuhumu wananunua mechi kama ile ya juzi uliyotabiri ingeisha kwa 2-0