Meditator
Member
- Jan 23, 2023
- 73
- 117
Habari wanajamvi,
Kama kichwa cha habari kinavo jieleza tajwa hapo awali.
Mimi ni kaka na nina wadogo zangu wawili, mmoja kamaliza Kidato cha sita mwaka huu na mwingine yupo Kidato cha nne. Mi Sina elimu kubwa sana kitu ambacho huwa na wapambania sana madogo wasome wafike mbali ili watimize ndoto zao ingawa na jua suala la upatikanaji wa ajira huwa ni msalaa siku zote pia ni jambo la Bahati.
Tuingie kwenye mada husika iliyo nileta hapa. Nipo kwenye mchakato wa kumuombea dogo mkopo wa chuo sasa nilikuwa nauliza kwa yeyote anayefahamu kama kuna kipengele ambacho unaweza ku-attach Affidavit wakati wa Maombi ya mkopo HELSB.
Muwe na mchana mwema.
Kama kichwa cha habari kinavo jieleza tajwa hapo awali.
Mimi ni kaka na nina wadogo zangu wawili, mmoja kamaliza Kidato cha sita mwaka huu na mwingine yupo Kidato cha nne. Mi Sina elimu kubwa sana kitu ambacho huwa na wapambania sana madogo wasome wafike mbali ili watimize ndoto zao ingawa na jua suala la upatikanaji wa ajira huwa ni msalaa siku zote pia ni jambo la Bahati.
Tuingie kwenye mada husika iliyo nileta hapa. Nipo kwenye mchakato wa kumuombea dogo mkopo wa chuo sasa nilikuwa nauliza kwa yeyote anayefahamu kama kuna kipengele ambacho unaweza ku-attach Affidavit wakati wa Maombi ya mkopo HELSB.
Muwe na mchana mwema.