Hivi kuna kipimo kinachoweza kuonyesha kama mtu alivuta bangi au alitumia madawa ya kulevya?

CT scan inapima kama kuna tatizo kwenye ubongo na kamwe hakipimi mtu alivuta sigara lini, kufahamu mtu alivuta sigara lini unafahamu from patient history, Ila kwa huyo mgonjwa cigarette smoking ilikua risk factor ya kupata Stroke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…