Kipo ni city scan, tulimpeleka mtu mzima pale muhimbili alipata strock, baada ya majibu Dr alisema huyu amewahi kuvuta sigara, na katika maisha yetu hatujawahi kumuona akivuta, tulipouliza wakubwa walikubali, kuwa mara ya mwisho kuvuta sigara ilikuwa mwaka 1964