shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,901
Alichechemea baadaye alifarikiVipi hali yake kwa sasa , ameweza kuchechemea kidogo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alichechemea baadaye alifarikiVipi hali yake kwa sasa , ameweza kuchechemea kidogo ?
Kaa chini...chutama ukivuliwa nguo
CT scan inapima kama kuna tatizo kwenye ubongo na kamwe hakipimi mtu alivuta sigara lini, kufahamu mtu alivuta sigara lini unafahamu from patient history, Ila kwa huyo mgonjwa cigarette smoking ilikua risk factor ya kupata StrokeKipo ni city scan, tulimpeleka mtu mzima pale muhimbili alipata strock, baada ya majibu Dr alisema huyu amewahi kuvuta sigara, na katika maisha yetu hatujawahi kumuona akivuta, tulipouliza wakubwa walikubali, kuwa mara ya mwisho kuvuta sigara ilikuwa mwaka 1964