Rozanna Agro Africa
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 809
- 793
ndomana wamemtimua mourinho,kanunua pogba,lukaku,fred bdo akawa anataka kununua wakati ferguson hakuwa na matumizi hayo,matumizi hayo zinafanya timu zinazonunua hadhi man city na chelsea
ungewataka xavi,messi,iniesta,pique, nk ungelipa bei gani!?Na kule barcelona vp? Mbna pep kachykua mataji kibao na wachezaj wasio ghari?
ungewataka xavi,messi,iniesta,pique, nk ungelipa bei gani!?
ungewataka xavi,messi,iniesta,pique, nk ungelipa bei gani!?
Akikujibu nitag mkuuKwani aliwanunua?[emoji3]
namaanisha thamani yao,ni aina gani ya wachezajiKwani aliwanunua?[emoji3]
namaanisha thamani yao,ni aina gani ya wachezaji
The best one can't be weak in terms of celebrating racism like he did to Samuel Eto'o and Kolo Toure, so to me Pep Gadiola is poorest Coach I ever seen in my all life period of time.Pep guardiola is the best one
The best one can't be weak in terms of celebrating racism like he did to Samuel Eto'o and Kolo Toure, so to me Pep Gadiola is poorest Coach I ever seen in my all life period of time.
Watu tunataka mataji kipaji kajifunze kwenye vikosi vya kukuzia vipaji kama Lamasia, bahati mbaya siku hizi hata Barca wananunua wachezaji ambao washajua kucheza mipira kama Suarez na Coutinho.Mournho ananunua mataji, kocha bora ni sir alex Ferguson na wenger, wanakuza watoto baadae wanageuka mastaa wa kidunia
Kabisa Mkuu, alipotua tu awali aliikuta City ikitoka kushiriki UEFA QUARTER FINALS lkn alisajili wachezaji 11.Huyu ananunua mataji,pale city first eleven yote wapya kasoro sterling na fenandinho..angalia katumia kiasi gani cha pesa ukilinganisha na wenzake
Mourinho alitimuliwa 7bu alizinguana na Martial na Pogba hatimaye wakaanza kumfanyia mgomo kimya kimya hadi matokeo kuwa mabaya na kutimuliwa.ndomana wamemtimua mourinho,kanunua pogba,lukaku,fred bdo akawa anataka kununua wakati ferguson hakuwa na matumizi hayo,matumizi hayo zinafanya timu zinazonunua hadhi man city na chelsea
Na kule barcelona vp? Mbna pep kachykua mataji kibao na wachezaj wasio ghari?
ungewataka xavi,messi,iniesta,pique, nk ungelipa bei gani!?