Rozanna Agro Africa
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 809
- 793
Na kule barcelona vp? Mbna pep kachykua mataji kibao na wachezaj wasio ghari?
ndomana wamemtimua mourinho,kanunua pogba,lukaku,fred bdo akawa anataka kununua wakati ferguson hakuwa na matumizi hayo,matumizi hayo zinafanya timu zinazonunua hadhi man city na chelsea