Hivi kuna kocha bora amewahi kutokea Ulaya kama Jose Mourinho?

Una matatizo wewe, mi nimesema Kocha mwenye mafanikio kwa miaka 15 ya nyuma na aliye ktk ubora ni Jose Mourinho, uwe unaelewa kwanza ndipo ubishane nami siyo kukurupuka pasipokujua nini chanzo cha mjadala.
Ndio mana hatuelewani,Mimi najadili Mada iliyopo mezani iliyoletwa na mwenye Uzi,wewe unajadili kocha mwenye mafanikio kwa miaka 15 ilopita. Basi kaa na Jose Mourinho wako lakini uwe unaelewa nyuzi za watu kwanza ili usichanganye madalanse na matikiti kama ulivyofanya
 
Na ataendelea kuwa Kocha bora hata kama una stress za MUFC, wekeni mzigo wa uhakika mtengue kikosi chote la sivyo mtabaki kuwa kama sisi wazee wa kuunga unga tu "Chelsea"[emoji16]
 
Na ataendelea kuwa Kocha bora hata kama una stress za MUFC, wekeni mzigo wa uhakika mtengue kikosi chote la sivyo mtabaki kuwa kama sisi wazee wa kuunga unga tu "Chelsea"[emoji16]
Mimi sina chuki na Jose,na wala sikuwa najadili ktk dimension ya nani ana mafanikio kati ya Jose Na pep,hii ni Mada iliyokuja njiani tu. Mimi nilikuwa najadili ishu ya kocha bora wa siku zote hadi sasa.
 
Hizo siku zote ulikuwa bado hujazaliwa so jitahidi uwe muwazi ili nikusaidie vizuri zaidi kujua mengi ktk ulimwengu wa soka Chifu.
Mimi sina chuki na Jose,na wala sikuwa najadili ktk dimension ya nani ana mafanikio kati ya Jose Na pep,hii ni Mada iliyokuja njiani tu. Mimi nilikuwa najadili ishu ya kocha bora wa siku zote hadi sasa.
 
Hizo siku zote ulikuwa bado hujazaliwa so jitahidi uwe muwazi ili nikusaidie vizuri zaidi kujua mengi ktk ulimwengu wa soka Chifu.
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha havha ha ha ha [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kiukweli mimi soka nilianza kuangalia 1998 tena ni kombe la dunia nikiwa na chama langu la akina Francisco Zola lkn nguvu kazi zaidi niliziweka 2004 baada ya Mourinho kuja Starmford Bridge.

So tuwe wakweli ili twende sawa Chifu
 
Hivi yule kocha wa Crotia aliyeifikisha mpaka finaili mwaka jana anaitwa nani jmn
 
Kiukweli mimi soka nilianza kuangalia 1998 tena ni kombe la dunia nikiwa na chama langu la akina Francisco Zola lkn nguvu kazi zaidi niliziweka 2004 baada ya Mourinho kuja Starmford Bridge.

So tuwe wakweli ili twende sawa Chifu

Mkuu zole alikuwepo kwenye chama gani kwenye hiyo world cup 1998? mana hakuwemo kabisa kwenye yale mashindano
 

Acha kuongea pumba msela, Gardiola amebeba la liga 3, Ujerumani mara 3, PL anakunja ya pili karibuni. Amebaba Spanish cup, German Cup 3,Leag cup 2 na FA Cup anamalizia karibuni. Two champion leagua Barca. sasa unataka mafanikio gani mengine. Mafanikio aliyapata jose England Pep anamalizia kuyafunika. Na kubwa zaidi ni kua Pep bado yupo on fire na Jose ameshapoteza dira.
Ancelotti ana 3 champion league, Ameshinda mataji ya ligi ya nchi 4 tafauti, na pia cup za nchi 4 tafauti.

Sasa lete hizo rekodi zako za Morinho zinazowazidi hawa.
 
Ingia kwenye google u download kati ya Mourinho na Pep ni yupi mwenye CV kubwa za mafanikio ndipo ulete mahaba yako hapa yanayotaka kukuua kwa Pep 7bu nimeshakula pesa za mbumbumbu kama ninyi wengi sana 7bu ya mahaba yenu uchwaro hayo.
 
Kwangu namchukulia Jose kama ni moja ya makocha bora kabisa hususani kuwajenga wachezaji uwezo wa kujiamini uwanjani na nje ya uwanja. Wachezaji kuamini kuwa HAKUNA KINACHOAHINDIKANA NDANI YA UWANJA.

Jamaa kachukua UEFA akiwa na Potro, Chelsea akaja akaijenga vyema na kuchukua mataji ya ndani. Jose Mourinho alifanikiwa kiasi kikubwa mno kuudhoofisha utawala wa Barca ya Pep pale alipotoka Inter na kuja Real Madrid.

Na ndio chanzo kikuu cha pep kuikimbia Barca, alishaona tiki tiki ya Barca imeshapatikana dawa yake, mimi kama Shabiki wa Barca, Barca ya Pep ilikuwa ikitolewa semi final UEFA kwa style ya aina moja tu, watu wandefense na kushambulia kwa kushtukiza.

Na ni hivyohivyo alivyoshika Bayern alitolewa UEFA kwa aina hiyo ya mpira wa wapinzani. Mourinho aliweza mpaka kupata ushindi ndani ya Nou Camp na Bernabeu na kuchukua mataji dhidi ya Barca kipindi ambacho makocha waliomtangulia hawakuwahi kufanya hivi.

Jose aliibeba Inter na wakabebaga UEFA, Jose aliijenga Inter kwa mikono yake na akafanikiwa haswa. Jamaa hana soka la kufurahisha saaana ila anaweza akawajenga kimpira mentality.

Mnaomsema Pep ni bora kuliko Mourinho naomba mjitafakari sana, Pep ni kocha wa majuzi tu hapa na hakuna timu ambayo Pep kaijenga mwenyewe. Huko Bayern German wanamuona kama kabomoa timu yao na mpaka ya taifa imeharibika.

Man City mafanikio yao yameanza baada ya uwekezaji mkubwa wa mabosi, kumbuka hata Sir Alex alikuwa akitikiswa na Mancini. Pep alisoma upepo ndio maana akaja hapo, tangu afike hapo almost timu nzima ameibadilisha kwa kusajili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…