Hivi kuna kuwa na 'database' ya watu wanaostahili kuteuliwa na Rais?

Hivi kuna kuwa na 'database' ya watu wanaostahili kuteuliwa na Rais?

Tulimumu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
14,409
Reaction score
13,262
Ukiangalia teuzi za rais ni kama kuna list ya watu ambayo huwa tayari imeandaliwa kwaajili ya kuteuliwa. Yaani teuzi zinawazungukia wale wale.

Unakuta mtu akikosa ubunge au uwaziri atapata uRC, DC, DAS, DED au ukatibu mkuu. Mwingine unakuta alishapita vyeo vingi sasa kesha anza maisha mapya Mara unasikia anapewa uDAS ghafla tena anabadilishwa kuwa RC.

Mwingine unakuta alikuwa na vikashfa awamu zilizopita ghafla unashangaa ni RC tena. Wengine unakuta ni watoto wa viongozi wastaafu au waliokufa.

Yaani kuna watu wanaishi kwa kubadilishiwa vyeo. Mwingine unakuta ni mteule wa kudumu toka enzi za baba wa taifa. Teuzi nyingine kama hizi za maRC unakuta ni kuhamishana tu wale wale.

Sasa unajiuliza hivi wenye sifa hakuna kabisa hadi kuanza kurudia rudia hata wastaafu? Ndipo nikawaza kwamba inawezekana kuna data base ya wateule ambao huwa wanasubiri muda tu wa kukamata vyeo vyao.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uwongo ndugu zangu?

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Na mimi nawaza sana, yaani ni walewale, mfano mkuu wa mkoa wa Dar!! Mkuchika, Ummy Mwalimu, Lukuvi, na muda mrefu nawasikia, yaani kikubwa tunaomba katiba mpya tu.
 
unaambiwa ukitaka uteuzi muone Dude , yule tapeli wa kwenye bongo muvi
 
Serikali ni ya CCM hao wanaobadilishwa vyeo ni wana-CCM, hivyo ni lazima watakuwa wale wale miaka nenda miaka rudi.

CHADEMA wakiingia madarakani sura zitakuwa ni zile zile, ndivyo ulivyo utaratibu wa kiuongozi wa serikali zinazoundwa na chama fulani.

Democrat ikiwa inashikilia white house tegemea kuona sura zile zile za miaka yote hali kadhalika Republican wakiingia watakuwa na watu wao wale wale.
 
Hakuna wana CCM wengine zaidi ya hao?
Serikali ni ya CCM hao wanaobadilishwa vyeo ni wana-CCM, hivyo ni lazima watakuwa wale wale miaka nenda miaka rudi.

CHADEMA wakiingia madarakani sura zitakuwa ni zile zile, ndivyo ulivyo utaratibu wa kiuongozi wa serikali zinazoundwa na chama fulani.

Democrat ikiwa inashikilia white house tegemea kuona sura zile zile za miaka yote hali kadhalika Republican wakiingia watakuwa na watu wao wale wale.
 
Ukiangalia teuzi za rais ni kama kuna list ya watu ambayo huwa tayari imeandaliwa kwaajili ya kuteuliwa. Yaani teuzi zinawazungukia wale wale.

Unakuta mtu akikosa ubunge au uwaziri atapata uRC, DC, DAS, DED au ukatibu mkuu. Mwingine unakuta alishapita vyeo vingi sasa kesha anza maisha mapya Mara unasikia anapewa uDAS ghafla tena anabadilishwa kuwa RC.

Mwingine unakuta alikuwa na vikashfa awamu zilizopita ghafla unashangaa ni RC tena. Wengine unakuta ni watoto wa viongozi wastaafu au waliokufa.

Yaani kuna watu wanaishi kwa kubadilishiwa vyeo. Mwingine unakuta ni mteule wa kudumu toka enzi za baba wa taifa. Teuzi nyingine kama hizi za maRC unakuta ni kuhamishana tu wale wale.

Sasa unajiuliza hivi wenye sifa hakuna kabisa hadi kuanza kurudia rudia hata wastaafu? Ndipo nikawaza kwamba inawezekana kuna data base ya wateule ambao huwa wanasubiri muda tu wa kukamata vyeo vyao.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uwongo ndugu zangu?

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
Wengi wao hupitia kwenye Vyama
 
Marafiki zake Mungu hao ndugu yangu ,we kama sio rafiki wa Mungu utatawaliwa na kizazi chako
 
Yes, kuna makamati ya kupendekeza, na usalama wa kwenye ma vyama yao huko.
Hili ndilo Jibu sahihi kabisa,labda niongezee.
1.Wakuu wa Mikoa/na Wilaya-vetting zinafanywa na watu wa usalama wa chama na kanzi data ni huko huko CCM.
2.Wakurugenzi-Kanzi data na vetting ni TAMISEMI.
3.Makatibu wa Kuu wa Wizara/Katibu Tawala Mikoa na Wilaya/Wakurugenzi wa Taasisi za Serikali na mashirika ya umma-kanzi data ni Ofisi ya Rais-UTUMISHI
 
Hakuna wana CCM wengine zaidi ya hao?
Vyeo vyote vya kisiasa ni fadhila. Hakuna mteuliwa wa Rais katika kazi ya kisiasa ambaye ana mchango chanya kwa maendeleo ya Taifa. Ni vyeo ambavyo ni vya familia chache nchini. Wachache wanaoteuliwa katika nafasi hizo kutoka katika familia za walala hoi ni kwa kudra za Mungu au wapate endorsement za vigogo kutoka familia hizo za wateule. Ndiyo sababu wanageuzwa geuzwa kama bisi kikaangoni.

Hali hii itaisha pale tu tutakapokuwa na katiba ambayo itazingatia ujuzi na uzoefu wa mtu katika uongozi!
 
Ukiangalia teuzi za rais ni kama kuna list ya watu ambayo huwa tayari imeandaliwa kwaajili ya kuteuliwa. Yaani teuzi zinawazungukia wale wale.

Unakuta mtu akikosa ubunge au uwaziri atapata uRC, DC, DAS, DED au ukatibu mkuu. Mwingine unakuta alishapita vyeo vingi sasa kesha anza maisha mapya Mara unasikia anapewa uDAS ghafla tena anabadilishwa kuwa RC.

Mwingine unakuta alikuwa na vikashfa awamu zilizopita ghafla unashangaa ni RC tena. Wengine unakuta ni watoto wa viongozi wastaafu au waliokufa.

Yaani kuna watu wanaishi kwa kubadilishiwa vyeo. Mwingine unakuta ni mteule wa kudumu toka enzi za baba wa taifa. Teuzi nyingine kama hizi za maRC unakuta ni kuhamishana tu wale wale.

Sasa unajiuliza hivi wenye sifa hakuna kabisa hadi kuanza kurudia rudia hata wastaafu? Ndipo nikawaza kwamba inawezekana kuna data base ya wateule ambao huwa wanasubiri muda tu wa kukamata vyeo vyao.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uwongo ndugu zangu?

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
Mkuu mataifa mengi ya kiafrika ndivyo yalivyo , Kama auna connection, au familia YAKO aina connection teuzi utazisikiaga, kinachoangaliwa sio uwezo ni connection ya nani yupo mbele YAKO ,

Lakini ndo maana tunataka katiba mpya ili ipunguze utitiri wa teuzi KWA mkuu wa nchi ,nafasi zingine ziwekewe utaratibu jinsi ya kuwapata watu majembe ,na wenye sifa ,tuna watu makini Sana tz wa kulitumika Taifa ila Sasa je wanakua vipi exposed na kuonyesha vipaji vyao katika uongonzi ndo changamoto


Sasa inakua mwendo wa watu wale wale, familia zilele, akili ileile, nakusumba zilezile, lakini tija ndogo katika kutumikia nafasi walizo nazo
 
Wanapunguza risk ya kupindua nchi,,, ndio maana wateuli hawatoki mbali.... Hao kina sabaya wenyewe wazazi wao wana rekodi za kisiasa
 
Back
Top Bottom