Uchaguzi 2020 Hivi kuna maana gani kuendelea kuyabakiza mabango ya Chagua Magufuli nchi nzima, wakati uchaguzi ushakwisha?

Uchaguzi 2020 Hivi kuna maana gani kuendelea kuyabakiza mabango ya Chagua Magufuli nchi nzima, wakati uchaguzi ushakwisha?

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,843
Reaction score
31,057
Kuna kitu ambacho siyo cha kawaida, ambacho sijawahi kukiona katika miaka ya nyuma katika tawala zilizopita, kwa kuyabakiza mabango kwa maelfu yanaendelea kuwepo sehemu mbalimbali nchini, wakati uchaguzi ushakwisha!

Mabango hayo yalitengenezwa maalum kwa ajili ya uchaguzi mkuu pekee na kwa kuwa uchaguzi huo umekwisha, mabango hayo hayastahili kuendelea kuwepo nchi nzima.

Kwanza tujiulize mabango hayo yanatuhumiza wananchi tumchague Magufuli ili aendelee na kipindi kingine cha miaka 5.
Magufuli, ambapo tayari
Tume ya uchaguzi imemtangaza Rais Magufuli kuwa kashinda kwa kishindo, je kuna sababu gani ya kuendelea kuyatundika mabango hayo?

Ni matumizi mabaya ya rasilimali za nchi na kumfanyia "promo" Rais Magufuli, kwa kuwa hayo mabango yalikuwa ni kwa ajili ya uchaguzi mkuu uliopita pekee na kwa vile uchaguzi huo umeshapita, sioni sababu ya kuendelea kuyatundika mabango hayo sehemu mbalimbali nchini.

Kwanza uchaguzi wenyewe umekuwa ukilalamikiwa mno na vyama vya upinzani nchini na Jumuia ya kimataifa kuwa uchaguzi huo haukuwa huru na haki na ulijaa udanganyifu wa hali ya juu, kiasi ambacho hauwezi kuwa na "credibility" ya kuuita kuwa uchaguzi huo ulikuwa huru na haki.
 
Kuna kitu ambacho siyo cha kawaida, ambacho sijawahi kukiona katika miaka ya nyuma katika tawala zilizopita, kwa kuyabakiza mabango kwa maelfu yanaendelea kuwepo sehemu mbalimbali nchini, wakati uchaguzi ushakwisha!

Mabango hayo yalitengenezwa maalum kwa ajili ya uchaguzi mkuu pekee na kwa kuwa uchaguzi huo umekwisha, mabango hayo hayastahili kuendelea kuwepo nchi nzima.

Kwanza tujiulize mabango hayo yanatuhumiza wananchi tumchague Magufuli ili aendelee na kipindi kingine cha miaka 5.
Magufuli, ambapo tayari
Tume ya uchaguzi imemtangaza Rais Magufuli kuwa kashinda kwa kishindo, je kuna sababu gani ya kuendelea kuyatundika mabango hayo?

Ni matumizi mabaya ya rasilimali za nchi na kumfanyia "promo" Rais Magufuli, kwa kuwa hayo mabango yalikuwa ni kwa ajili ya uchaguzi mkuu uliopita pekee na kwa vile uchaguzi huo umeshapita, sioni sababu ya kuendelea kuyatundika mabango hayo sehemu mbalimbali nchini.

Kwanza uchaguzi wenyewe umekuwa ukilalamikiwa mno na vyama vya upinzani nchini na Jumuia ya kimataifa kuwa uchaguzi huo haukuwa huru na haki na ulijaa udanganyifu wa hali ya juu, kiasi ambacho hauwezi kuwa na "credibility" ya kuuita kuwa uchaguzi huo ulikuwa huru na haki.
Kumbuka yamelipiwa Kodi hayo hadi muda utakapotimia nawe kalipie ya Kwako uweke uache kulalamika
 
Kuna kitu ambacho siyo cha kawaida, ambacho sijawahi kukiona katika miaka ya nyuma katika tawala zilizopita, kwa kuyabakiza mabango kwa maelfu yanaendelea kuwepo sehemu mbalimbali nchini, wakati uchaguzi ushakwisha!

Mabango hayo yalitengenezwa maalum kwa ajili ya uchaguzi mkuu pekee na kwa kuwa uchaguzi huo umekwisha, mabango hayo hayastahili kuendelea kuwepo nchi nzima.

Kwanza tujiulize mabango hayo yanatuhumiza wananchi tumchague Magufuli ili aendelee na kipindi kingine cha miaka 5.
Magufuli, ambapo tayari
Tume ya uchaguzi imemtangaza Rais Magufuli kuwa kashinda kwa kishindo, je kuna sababu gani ya kuendelea kuyatundika mabango hayo?

Ni matumizi mabaya ya rasilimali za nchi na kumfanyia "promo" Rais Magufuli, kwa kuwa hayo mabango yalikuwa ni kwa ajili ya uchaguzi mkuu uliopita pekee na kwa vile uchaguzi huo umeshapita, sioni sababu ya kuendelea kuyatundika mabango hayo sehemu mbalimbali nchini.

Kwanza uchaguzi wenyewe umekuwa ukilalamikiwa mno na vyama vya upinzani nchini na Jumuia ya kimataifa kuwa uchaguzi huo haukuwa huru na haki na ulijaa udanganyifu wa hali ya juu, kiasi ambacho hauwezi kuwa na "credibility" ya kuuita kuwa uchaguzi huo ulikuwa huru na haki.
Huu ndio ujinga wa hali ya juu sana
 
Kumbuka yamelipiwa Kodi hayo hadi muda utakapotimia nawe kalipie ya Kwako uweke uache kulalamika
Kwa hiyo ccm ni wajinga sana wa kuchezea pesa mpaka kulipia bango miezi zaidi ya miwili baada ya uchaguzi!? Sio kweli, hayo mabango yamewekwa bure na serikali haiingizi hata mia moja kupitia hayo mabango.
 
Kuna kitu ambacho siyo cha kawaida, ambacho sijawahi kukiona katika miaka ya nyuma katika tawala zilizopita, kwa kuyabakiza mabango kwa maelfu yanaendelea kuwepo sehemu mbalimbali nchini, wakati uchaguzi ushakwisha!

Mabango hayo yalitengenezwa maalum kwa ajili ya uchaguzi mkuu pekee na kwa kuwa uchaguzi huo umekwisha, mabango hayo hayastahili kuendelea kuwepo nchi nzima.

Kwanza tujiulize mabango hayo yanatuhumiza wananchi tumchague Magufuli ili aendelee na kipindi kingine cha miaka 5.
Magufuli, ambapo tayari
Tume ya uchaguzi imemtangaza Rais Magufuli kuwa kashinda kwa kishindo, je kuna sababu gani ya kuendelea kuyatundika mabango hayo?

Ni matumizi mabaya ya rasilimali za nchi na kumfanyia "promo" Rais Magufuli, kwa kuwa hayo mabango yalikuwa ni kwa ajili ya uchaguzi mkuu uliopita pekee na kwa vile uchaguzi huo umeshapita, sioni sababu ya kuendelea kuyatundika mabango hayo sehemu mbalimbali nchini.

Kwanza uchaguzi wenyewe umekuwa ukilalamikiwa mno na vyama vya upinzani nchini na Jumuia ya kimataifa kuwa uchaguzi huo haukuwa huru na haki na ulijaa udanganyifu wa hali ya juu, kiasi ambacho hauwezi kuwa na "credibility" ya kuuita kuwa uchaguzi huo ulikuwa huru na haki.
Chuki yako kwa Magufuli haitakusaidia bali utapata ugonjwa wa moyo bure! Relax
 
Kuna kitu ambacho siyo cha kawaida, ambacho sijawahi kukiona katika miaka ya nyuma katika tawala zilizopita, kwa kuyabakiza mabango kwa maelfu yanaendelea kuwepo sehemu mbalimbali nchini, wakati uchaguzi ushakwisha!

Mabango hayo yalitengenezwa maalum kwa ajili ya uchaguzi mkuu pekee na kwa kuwa uchaguzi huo umekwisha, mabango hayo hayastahili kuendelea kuwepo nchi nzima.

Kwanza tujiulize mabango hayo yanatuhumiza wananchi tumchague Magufuli ili aendelee na kipindi kingine cha miaka 5.
Magufuli, ambapo tayari
Tume ya uchaguzi imemtangaza Rais Magufuli kuwa kashinda kwa kishindo, je kuna sababu gani ya kuendelea kuyatundika mabango hayo?

Ni matumizi mabaya ya rasilimali za nchi na kumfanyia "promo" Rais Magufuli, kwa kuwa hayo mabango yalikuwa ni kwa ajili ya uchaguzi mkuu uliopita pekee na kwa vile uchaguzi huo umeshapita, sioni sababu ya kuendelea kuyatundika mabango hayo sehemu mbalimbali nchini.

Kwanza uchaguzi wenyewe umekuwa ukilalamikiwa mno na vyama vya upinzani nchini na Jumuia ya kimataifa kuwa uchaguzi huo haukuwa huru na haki na ulijaa udanganyifu wa hali ya juu, kiasi ambacho hauwezi kuwa na "credibility" ya kuuita kuwa uchaguzi huo ulikuwa huru na haki.
Kama Wapinzani wasivyoamini ushindi wake hata waliobandika hayo mabango hawaamini mgombea huyo alishinda kwa kishindo Uchafuzi wa mwaka huu wala Uchaguzi wa 2015 bado wanatafakali mabegi meusi yaliwaletea nini wasimamizi.
 
Yanaboa sas, mengi sanaa yan hela ya kuyatengeneza na kuyaweka ingetosha kutoa madaftra kwa watoto wa primary nchi nzima..
 
Back
Top Bottom