Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Ww ulishawahi kuweka??, tupe uzoefuUnaweza weka tu
SanaMatibabu ya Figo na ini yana gharama kubwa sana
Siyo matibabu tuu ndiyo gharama, hàta pombe nayo ni gharama. Ukimudu gharama ya kulipia pombe huwezi shindwa gharama ya kulipia matibabu.Matibabu ya Figo na ini yana gharama kubwa sana
Acha maisha ya ulevi, mwanangu. Mungu sio mjomba wako. Hujasoma onyo lake?Nazungumzia pombe Kali kama; K-vant,konyagi, grants, smin off, jack Daniels nk nk.
Nauliza Kuna mlevi Mmoja hapa Jf alishawahi kujaribu hii challenge??, na Nini kilitokea??, Natamani kujua hili......tchao!!!
Acha ku judge mkuu sawa??....una judge mtu alafu mwisho wa siku hoja Yako ya msingi ni kama yangu TU,, tulia watiririke tupate majibuhilo swali ungeuliza huko bar ni kwanini hivyo vinywaji ulivyotaja wao huko bar hawaviweki kwenye friji watakupa jibu sahihi..ila mm nasikia tu hivyo vinywaji vikali havitakiwi kukaa kwenye friji zipo sababu maalum za kitaalam ila mm sizijui..labda walevi na wafanyabiazhara wa hizo pombe watujuze ni kwanini.? ila wengine wanaweka vpande vya barafu kwenye glasi za pombe kali sijui nayo iko vipi.!
Nimeuliza robot na haya ndio majibu yake:Nazungumzia pombe Kali kama; K-vant,konyagi, grants, smin off, jack Daniels nk nk.
Nauliza Kuna mlevi Mmoja hapa Jf alishawahi kujaribu hii challenge??, na Nini kilitokea??, Natamani kujua hili......tchao!!!
Wapi mkuu nimetaja Mimi mlevi??,, kabla ya ku judge mtu ji judge ww mwenyewe kwanza sawa?Acha maisha ya ulevi, mwanangu. Mungu sio mjomba wako. Hujasoma onyo lake?
Soma 1 Wakorintho 6:9-10
"Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi, hawataurithi ufalme wa Mungu."
Muulize huyo robot wako, Vipi tunachelewa au tunawahi kulewa, hiyo ndio hoja ya msingi....ndio jibu AMBALO walevi wanatamani kulijuaNimeuliza robot na haya ndio majibu yake:
"Ndio, unaweza kuweka pombe kali kama Konyagi na K-Vant kwenye friji ili zipate ubaridi. Pombe kali zina kiwango cha juu cha alkoholi (kawaida zaidi ya 30%), hivyo haziwezi kuganda kwenye friji ya kawaida kwa sababu kiwango cha kuganda cha alkoholi kiko chini sana (karibu -114°C).
Hata hivyo, ikiwa unataka zipate ubaridi wa haraka zaidi, unaweza pia kuweka kwenye freezer kwa muda mfupi (dakika 20–30). Kumbuka tu kuwa pombe kali hazitaganda kwenye freezer ya kawaida kwa sababu ya kiwango chake cha juu cha alkoholi."
Muujiza wa kwanza wa yesu kristo ulikua upi ndugu mtumishi??Acha maisha ya ulevi, mwanangu. Mungu sio mjomba wako. Hujasoma onyo lake?
Soma 1 Wakorintho 6:9-10
"Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi, hawataurithi ufalme wa Mungu."
"Ubaridi hautabadili kiwango cha alkoholi kwenye pombe, kwa hiyo hali ya kulewa itabaki ile ile. Kilichobadilika ni ladha na hisia unazopata unapokunywa — pombe ikiwa baridi huwa laini zaidi na ladha yake huwa nyepesi, hivyo inaweza kukufanya unywe kwa kasi zaidi bila kuhisi ukali wake mara moja. Hii inaweza kusababisha kulewa haraka bila kujitambua kwa sababu unywaji unakuwa rahisi zaidi."Muulize huyo robot wako, Vipi tunachelewa au tunawahi kulewa, hiyo ndio hoja ya msingi....ndio jibu AMBALO walevi wanatamani kulijua
You made my saturday😆Siyo matibabu tuu ndiyo gharama, hàta pombe nayo ni gharama. Ukimudu gharama ya kulipia pombe huwezi shindwa gharama ya kulipia matibabu.
Acha maisha ya ulevi, mwanangu. Mungu sio mjomba wako. Hujasoma onyo lake?
Soma 1 Wakorintho 6:9-10
"Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi, hawataurithi ufalme wa Mungu."