Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
Njoo nikuuzie pure avocado oil Kwa tsh 15000 tu. Mls 250
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo avocado umetengeneza mwenyewe au?Njoo nikuuzie pure avocado oil Kwa tsh 15000 tu. Mls 250
Ndio ni homemadeHiyo avocado umetengeneza mwenyewe au?
Kwa hayo yanasaidia nini? Kwenye nyweleNdio ni homemade![]()
Kulainisha nywele na kuondoka shrinkageKwa hayo yanasaidia nini? Kwenye nywele
Permanent au temporaryKulainisha nywele na kuondoka shrinkage
Kufanya ziwe nyeus
PermanentPermanent au temporary
Kwa muda gani unatumiaPermanent
Ukitumia chupa mbili baas unaweza kuacha na chupa moja hudumu kati ya miezi 2-4 kutokana na wingi Wa nyweleKwa muda gani unatumia
mkuu mi nimepaka almost mwaka sasa. yako vzr tu unapaka kama mafuta tu yanabadili nywele. na pia baadae unaosha ili uchafu usibaki kichwani kuchafua nguo. kuhusu kukatika nywele ndo nafanya uchunguzi. mi nilinunua maduka ya vipodozi sipo dar mkuu.Mkuu ungetupa mrejesho basi hayo mafuta yanapatikana wapi na unavyopaka yanabadili kweli rangi ya nywele na vip hayo madoa kwenye nguo huwa yanatokea ukishapaka...???
Okay,,ngoja siku nikienda Dar ntayatafutamkuu mi nimepaka almost mwaka sasa. yako vzr tu unapaka kama mafuta tu yanabadili nywele. na pia baadae unaosha ili uchafu usibaki kichwani kuchafua nguo. kuhusu kukatika nywele ndo nafanya uchunguzi. mi nilinunua maduka ya vipodozi sipo dar mkuu.
Nimewahitumia virutubisho kutoka arusha mvi zikaisha zote nikaacha kutumia miaka miwili naona zimeaza kurudi, naomba mwenye kuwajua hawa jamaa wa arusha wanaouza virutubisho nimesahau jina lake na namba nilipoteza naomba mnisaidie mnaowafahamu, manake waliniambia nichukue pakti tatu nikachukua moja nilivoona zimeisha nikapotea.Vaida hakuna kitu,,, nilishatumia sana haijasaidia
Ipo vizuri ni Kati ya 5000 au 6000 alitumiaga wife wangu ana mimvi ilikwisha kwa ukweli.Mkuu hiyo super vasmo ulishawahi kuitumia..??