Hivi kuna mafuta ya kubadili rangi ya nywele kuwa nyeusi?

Njoo nikuuzie pure avocado oil Kwa tsh 15000 tu. Mls 250
 
Mkuu ungetupa mrejesho basi hayo mafuta yanapatikana wapi na unavyopaka yanabadili kweli rangi ya nywele na vip hayo madoa kwenye nguo huwa yanatokea ukishapaka...???
mkuu mi nimepaka almost mwaka sasa. yako vzr tu unapaka kama mafuta tu yanabadili nywele. na pia baadae unaosha ili uchafu usibaki kichwani kuchafua nguo. kuhusu kukatika nywele ndo nafanya uchunguzi. mi nilinunua maduka ya vipodozi sipo dar mkuu.
 
mkuu mi nimepaka almost mwaka sasa. yako vzr tu unapaka kama mafuta tu yanabadili nywele. na pia baadae unaosha ili uchafu usibaki kichwani kuchafua nguo. kuhusu kukatika nywele ndo nafanya uchunguzi. mi nilinunua maduka ya vipodozi sipo dar mkuu.
Okay,,ngoja siku nikienda Dar ntayatafuta
 
Vaida hakuna kitu,,, nilishatumia sana haijasaidia
Nimewahitumia virutubisho kutoka arusha mvi zikaisha zote nikaacha kutumia miaka miwili naona zimeaza kurudi, naomba mwenye kuwajua hawa jamaa wa arusha wanaouza virutubisho nimesahau jina lake na namba nilipoteza naomba mnisaidie mnaowafahamu, manake waliniambia nichukue pakti tatu nikachukua moja nilivoona zimeisha nikapotea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…