Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe na wewe huko hufika. Engine za magari sijui ila engine za ma boat huwa zinakufa kabisa. Yaani haitowaka kabisa kama itamwagiwa ikiwa wazi. Huo mchezo huchezwa kwa bosi wakorofi na wanaozurumu wafanyakazi wao. Tunafanya hivi.Wacha na mie nisubiri maana hivi karibuni nilikuwa kisiwa cha Irugwa nikasikia stori inayofanania hii.
Hii michezo ya hatari sana mkuu. Kuna chombo moja ya mwana iko hapo haina kazi kabisa, wanga walitia chumvi.Kumbe na wewe huko hufika. Engine za magari sijui ila engine za ma boat huwa zinakufa kabisa. Yaani haitowaka kabisa kama itamwagiwa ikiwa wazi. Huo mchezo huchezwa kwa bosi wakorofi na wanaozurumu wafanyakazi wao. Tunafanya hivi.
Unachukua lita mbili za maji ukachanganya na kilo kama tano za chumvi kisha unafunua bonet unamwaga mule kwenye brock baadae unafunika.ni nzuri zaidi kama injini itakuwa imehifadhiwa( haiko kikazi kwa muda huo) kisha unasepa. Maana wakikugundua unaweza fungwa nanga na kuzamishwa ziwani
Nini madhara yakeKumbe na wewe huko hufika. Engine za magari sijui ila engine za ma boat huwa zinakufa kabisa. Yaani haitowaka kabisa kama itamwagiwa ikiwa wazi. Huo mchezo huchezwa kwa bosi wakorofi na wanaozurumu wafanyakazi wao. Tunafanya hivi.
Unachukua lita mbili za maji ukachanganya na kilo kama tano za chumvi kisha unafunua bonet unamwaga mule kwenye brock baadae unafunika.ni nzuri zaidi kama injini itakuwa imehifadhiwa( haiko kikazi kwa muda huo) kisha unasepa. Maana wakikugundua unaweza fungwa nanga na kuzamishwa ziwani
Hii michezo ya hatari sana mkuu. Kuna chombo moja ya mwana iko hapo haina kazi kabisa, wanga walitia chumvi.
Dah! Kweli asee huezi jua mwanga ni nani hasa, maana hizi stori za kusikia upande mmoja zinakuwaga na madahara yakeYawezakuwa yeye ni mwanga kuliko wao. Kulikuwa na engine moja horsepower 55 ya jamaa ilikuwa inatumika kwa ajiri ya wizi. Sasa akawazurumu wale wezi wake. Waliifanyia hivyo kikundi kikafa na vitendea kazi vikafa. Kwa kuwa compamy yake ilijiendesha kwa upigaji aliishia pale
Naongezea kidogo,Sababu Chumvi haiyeyuki kwny mafuta(petrol/diesel) so chumvi itapita kwny chujio la mafuta(fuel filter) then itaenda kwenye injectors mpk kwny clyinders na kusababisha kuta za clyinder kusuguana na hivyo kuua piston rings na kusababisha engine kukosa nguvu.
Safi sana mkuu,elimu nzuri hii.Naongezea kidogo
Uharibifu huwa Mkubwa kwenye mashimo ya piston yaani cylinder matundu haya hutanuka kutokana na msuguano wa vyuma na chumvi
Uunguaji wa mafuta pia huadhilika kwa sababu hewa na mafuta huchanganyika na kemikali za chumvi hivyo engine hushindwa kuzalisha nguvu ya kutosha kuendesha gari
Mfumo wa kurainisha vipuri ndani ya engine pia hupatwa na madhara kwa sababu oil huwa inachanganyika na kemikali za chumvi ambazo kikemikali huzaliwa kitu kingine kabisa
Kumbuka licha ya chumvi kuwa soluble kwenye kimiminika bado ikifika ndani ya engine hurejea kuwa insoluble hii ni kwa sababu ya joto kubwa lililopo ndani ya engine
Duuh, Horsepower 55 ndio iliyokuwa kubwa mpaka inapiga kazi za wizi.Yawezakuwa yeye ni mwanga kuliko wao. Kulikuwa na engine moja horsepower 55 ya jamaa ilikuwa inatumika kwa ajiri ya wizi. Sasa akawazurumu wale wezi wake. Waliifanyia hivyo kikundi kikafa na vitendea kazi vikafa. Kwa kuwa compamy yake ilijiendesha kwa upigaji aliishia pale
Mkuu mafundi wa outboard engine wapo wengi visiwani au mtu mwenye mitumbwi anakuwa na fundi wake.Kumbe na wewe huko hufika. Engine za magari sijui ila engine za ma boat huwa zinakufa kabisa. Yaani haitowaka kabisa kama itamwagiwa ikiwa wazi. Huo mchezo huchezwa kwa bosi wakorofi na wanaozurumu wafanyakazi wao. Tunafanya hivi.
Unachukua lita mbili za maji ukachanganya na kilo kama tano za chumvi kisha unafunua bonet unamwaga mule kwenye brock baadae unafunika. Ni nzuri zaidi kama injini itakuwa imehifadhiwa ( haiko kikazi kwa muda huo) kisha unasepa maana wakikugundua unaweza fungwa nanga na kuzamishwa ziwani.
Mkuu mafundi wa outboard engine wapo wengi visiwani au mtu mwenye mitumbwi anakuwa na fundi wake.
Duuh, Horsepower 55 ndio iliyokuwa kubwa mpaka inapiga kazi za wizi.
Nikiwa na Horsepower 200 nikija Mwanza nitakuwa nawakimbiza kuanzia Kasalazi,Gozba,Kijiweni,Sengerema,Muleba mpaka Kome.
Kwenye fiber boat?Horsepower200 utaitumia kwenye boat la chuma ama fible? Kama nilambao tu haitowezekana