Wanasiasa wana sifa ya kutojibu maswali, kwa sifa hiyo, wewe umenizidi mimi uanasiasa.Unafaa kuwa mwanasiasa brother.
Mimi pia ni kiumbe hai kama yule paka anayetembea pale.ila nina cha ziada ambacho ni roho.So paka yule akitembea pale bila roho kafa au...mbona anaishi bila roho afu wewe ambae pia unaishi una roho?
Oops! Verifiable evidence ya roho kwa maana ya tangible things i.e. metaphysics kwa kweli nimeshindwa kuipata. Labda unisaidie.Sijasema nataka niione roho nimekuambia ujibu hoja zangu na unipe verifiable evidence ya roho... sijawahi ona white blood cells ila naamini wapo coz Kuna non conflicting evidence.
Jambo ambalo lipo nje ya kanuni za physics naita ni uchawi.Wanasiasa wana sifa ya kutojibu maswali, kwa sifa hiyo, wewe umenizidi mimi uanasiasa.
Nimekuuliza swali hata hujakubali kwamba umeliona.
Nakuuliza tena.
Nikikuuliza uchawi ni nini na unajuaje huu lazima ni uchawi, si kitu kingine chochote usichokijua, utajibu vipi?
Jambo ambalo lipo nje ya kanuni za physics naita ni uchawi.
Ufufuo ni nini na unahakikishaje kuwa upo kweli na si katika hadithi za uongo tu?Hakuna maisha baada ya kifo bali kuna maisha baada ya ufufuo.,
Haiwezekani mtu kuishi akiwa amekufa,na ili mtu huyo aishi ni mpaka afufuke tena
Wewe pia si unaisha unakufa unazaa why we unaroho ye hanaNinaamini kwamba mm nina roho ila nzi na plasmodium hawana kwa sababu daima dumu wanaishi kwa mzunguko wa kimaisha (Life cycle)tu tangu enzi na enzi. Wanaishi, wanazaana then wanakufa. Hakuna badiliko lolote la maendeleo ktk mfumo wa maisha yao.
Unajuaje paka hana roho afu we unayo...Mimi pia ni kiumbe hai kama yule paka anayetembea pale.ila nina cha ziada ambacho ni roho.
Oops! Verifiable evidence ya roho kwa maana ya tangible things i.e. metaphysics kwa kweli nimeshindwa kuipata. Labda unisaidie.
Mzee nakukubali kwa kujenga hoja.Umeandika kama vile kanuni za physics zimeshamaliza kuandikwa.
Kanuni za physics zenyewe bado zinagunduliwa, na nyingine ambazo zimegunduliwa tunaelewa kuzifanyia application vizuri.
Miaka 200 iliyopita kanuni za Einstein za Relativity zilikuwa hazijulikani. Je, hilo linamaanisha mtu angeona effect ya time dilation iliyosababisha mapacha wawili waliozaliwa siku moja, lakini kwa sababu ya time dilation mmoja akawa sawa na mzee wa miaka 90 wakati mwingine akiwa sawa na kijana mwenye miaka 20, angekuwa sawa kusema huo ni uchawi?
Watu wa Afrika waliokuwa hawajui kanuni za kutabiri kupatwa kwa jua (solar eclipse) walipokutana na wazungu waliojua kutabiri kupatwa kwa jua, kwa kutumia kanuni za physics, walisema kuwa hawa wazungu ni wachawi, ndiyo maana wameweza kutabiri kupatwa kwa jua, lakini hapo hakuna uchawi, ni kanuni za sayansi tu.
Sasa, wewe unaposema huu ni uchawi kwa sababu upo nje ya kanuni za physics, wakati hizo kanuni za physics zenyewe hujamaliza kuzijua, utajuaje huu ni uchawi kweli ulio nje ya kanuni za physics na si kitu kilicho katika kanuni za physics ambazo wewe huzijui tu?
Kwa mfano, tukichukua mtu ambaye yeye anajua kwamba kwa kanuni za physics kitu kizito ukikirusha juu lazima kianguke chini, mfano mtu aliyeishi miaka 200 iliyopita, tukamuonesha ndege ya Boeing 737 inaruka hewani kwa maelfu ya km bila kuanguka leo, kwa physics anayoijua, atasema huu ni uchawi tu, hili lidege likubwa zito haliwezi kupaa angani, kitu kizito hivyo kitaanguka tu. Lakini, kwa physics tunayoijua leo, tunajua ndege inaweza kuruka bila uchawi, sasa, na wewe utajuaje huu ni uchawi ulio nje ya physics na huu si uchawi ni physics nisiyoijua tu?
Na zaidi, utajuaje huu ni uchawi na si hadaa za watu tu? Kuna watu walikutwa wanacheza uchi nje ya gari Mombasa, walidaiwa kuwa ni wezi walioiba gari lililokuwa na uchawi wa kuwaondoa akili wezi watakaoliiba. Baadaye, uchunguzi wa polisi uligundua kuwa hapo hakuna uchawi wala nini, huo ni mchezo uliopangwa tu kati ya hao watu na mganga wa kienyeji aliyekuwa anatafuta promo.
Kwa jamii zetu, kuona watu wanacheza uchi ilikuwa ni kitu very convincing kwamba hapa kuna uchawi, lakini lilikuwa deal tu limepangwa na watu. Sasa wewe utahakikishaje unachoita uchawi ni uchawi kweli na si hadaa iliyopangwa na watu tu?
Ninaamini na kusadiki hivyo.Unajuaje paka hana roho afu we unayo...
Shukurani.Mzee nakukubali kwa kujenga hoja.
Fanya research ndogo tu, tembelea vijiji kama GamboshiUmeandika kama vile kanuni za physics zimeshamaliza kuandikwa.
Kanuni za physics zenyewe bado zinagunduliwa, na nyingine ambazo zimegunduliwa tunaelewa kuzifanyia application vizuri.
Miaka 200 iliyopita kanuni za Einstein za Relativity zilikuwa hazijulikani. Je, hilo linamaanisha mtu angeona effect ya time dilation iliyosababisha mapacha wawili waliozaliwa siku moja, lakini kwa sababu ya time dilation mmoja akawa sawa na mzee wa miaka 90 wakati mwingine akiwa sawa na kijana mwenye miaka 20, angekuwa sawa kusema huo ni uchawi?
Watu wa Afrika waliokuwa hawajui kanuni za kutabiri kupatwa kwa jua (solar eclipse) walipokutana na wazungu waliojua kutabiri kupatwa kwa jua, kwa kutumia kanuni za physics, walisema kuwa hawa wazungu ni wachawi, ndiyo maana wameweza kutabiri kupatwa kwa jua, lakini hapo hakuna uchawi, ni kanuni za sayansi tu.
Sasa, wewe unaposema huu ni uchawi kwa sababu upo nje ya kanuni za physics, wakati hizo kanuni za physics zenyewe hujamaliza kuzijua, utajuaje huu ni uchawi kweli ulio nje ya kanuni za physics na si kitu kilicho katika kanuni za physics ambazo wewe huzijui tu?
Kwa mfano, tukichukua mtu ambaye yeye anajua kwamba kwa kanuni za physics kitu kizito ukikirusha juu lazima kianguke chini, mfano mtu aliyeishi miaka 200 iliyopita, tukamuonesha ndege ya Boeing 737 inaruka hewani kwa maelfu ya km bila kuanguka leo, kwa physics anayoijua, atasema huu ni uchawi tu, hili lidege likubwa zito haliwezi kupaa angani, kitu kizito hivyo kitaanguka tu. Lakini, kwa physics tunayoijua leo, tunajua ndege inaweza kuruka bila uchawi, sasa, na wewe utajuaje huu ni uchawi ulio nje ya physics na huu si uchawi ni physics nisiyoijua tu?
Na zaidi, utajuaje huu ni uchawi na si hadaa za watu tu? Kuna watu walikutwa wanacheza uchi nje ya gari Mombasa, walidaiwa kuwa ni wezi walioiba gari lililokuwa na uchawi wa kuwaondoa akili wezi watakaoliiba. Baadaye, uchunguzi wa polisi uligundua kuwa hapo hakuna uchawi wala nini, huo ni mchezo uliopangwa tu kati ya hao watu na mganga wa kienyeji aliyekuwa anatafuta promo.
Kwa jamii zetu, kuona watu wanacheza uchi ilikuwa ni kitu very convincing kwamba hapa kuna uchawi, lakini lilikuwa deal tu limepangwa na watu. Sasa wewe utahakikishaje unachoita uchawi ni uchawi kweli na si hadaa iliyopangwa na watu tu?
Sina haja ya kutembelea Gamboshi, tunaye mtu huko Gamboshi ni kwao yuko hapa anakwambia hizo habari za kwamba Gamboshi kuna uchawi ni hadithi za watu tu.Fanya research ndogo tu, tembelea vijiji kama Gamboshi
( Utakayoonyeshwa huko utajua kama ni kanuni mpya za physics, uchawi au vyovyote utakavyopenda wewe uite )
Wewe hauna data zozote kuhusu haya, Kwahiyo hauna haki ya kuzungumzia haya,
Kajifunze kwa faida yako sio yetu.
Bac na mi naamini nyumbani kwangu ninaishi na Kobe mwenye mabawa na yupo fasta kama flash ila huwezi muona bila macho ya kirohoNinaamini na kusadiki hivyo.
Huwa nikiona hizi stori za Gambosi kutoka kwa watu ambao nadhani hawajui hata hiyo Gambosi inafananaje, huwa nacheka sana.Sina haja ya kutembelea Gamboshi, tunaye mtu huko Gamboshi ni kwao yuko hapa anakwambia hizo habari za kwamba Gamboshi kuna uchawi ni hadithi za watu tu.
Yani kama wewe umeanza kuisikia Gamboshi ukubwani kwenye stories za vijiweni, yeye huko ndiko familia yake walipotokea.
Tatizo, ukishaanza na imani ya uchawi, ukiona story yoyote ambayo huna uhakika nayo, huielewi, haijathibitishwa, unaikubali kama uchawi.
Nimekuuliza, ukiona kitu ambacho unafikiri kipo nje ya kanuni za physics, utajuaje huu ni uchawi, na si kanuni za physics ambazo wewe huzielewi tu?Au hadaa za watu tu? Hujajibu maswali haya kabisa.
Haya ni maswali ya msingi sana, ukiacha kuyajibu unanionesha kwamba unabishana kishabiki, unatetea upande wako, huna nia ya kuchunguza mambo kwa kina na kupata ukweli.
Ama hivyo, ama huyaelewi maswali haya na umuhimu wake, jambo ambalo linanipa shaka sana kama mazungumzo na wewe yatakuwa na tija yoyote.
Unajuaje huu ni uchawi ulio nje ya kanuni za physics, na huu si uchawi, ni mambo yaliyo ndani ya kanuni za physics tu, kwa kanuni z aphysics ambazo sijazielewa bado? Hujajibu swali hili.
Unajuaje huu ni uchawi, na huu ni mchezo wa hadaa za walimwengu tu katika jitihada za kupambana na hali zao na kupigana pesa? Hujajibu swali hili.
Unaongelea data, huwezi kwenda kukusanya data bila ya kujua scope, bila kujua kipi kiko nje ya kanuni za physics na kipi kinaweza kuwa ndani lakini wewe hujazijua tu hizo kanuni.
Unakusanya vipi data wakati hujui hata mipaka ya kukusanya data iko wapi?
Unayaelewa haya maswali? Au unajibu kibishi tu kwa kutetea upande wako?
Nyani Ngabu
Ukifa unaoza unakuwa mbolea ya mimea / hayo mafuta na nishati kadhaa almasi n.k. ni viumbe vilivyokufa zamani...Kifo ni kitendo cha roho kuacha mwili.
1.Kwani tukifa tunaenda wapi?
2.Kabla yakuzaliwa tulikuwa wapi?
Maswali haya 2 yanaonyesha huenda hawa watu 2 huwa kuna mahali wanakuwepo