Hivi kuna maisha baada ya kifo?

But I am not talking about identities or labels, neither the ones given by others nor self identified.

Obama anaitwa black, yeye anajiita black, but he is actually biracial. Mama yake mzungu.
 
Hilo neno "uchawi" linamaanisha nini?

Neno unaweza kutunga tu hata wewe, lisiwe na maana, kitu muhimu ni maana.

Mtu akisema haijui sayansi, labda haijui tu, sasa anakosea nini kama haijui? Sayansi kuwa kweli haitegemei mtu kuijua.

Huo uchawi ni nini?

Tumeiangalia definition ya uchawi kama mambo yaliyo nje ya sheria za fizikia, tukaiona definition hii imepwaya, kwa sababu hata hizo sheria za fizikia hatuzijui vizuri, sasa tutasemaje hiki kipo ndani ya sheria za fizikia, na hiki kipo nje, wakati kinaweza kuwa ndani ya sheria za fizikia ila sisi hatujazijua tu?

Kwa nini tunasema "huu ni uchawi, ni kitu kilicho nje ya sheria za fizikia" badala ya kusema "inawezekana huu si uchawi, hauko nje ya sheria za fizikia, bali sisi ndiyo hatujazielewa vizuri tu sheria za fizikia, hapa inabidi tuchunguze vizuri zaidi"?.

Katika mfano wa kilichoripotiwa kuwa uchawi huko Mombasa, niliouweka hapo juu, Polisi walitumia hiyo option ya pili walipoona watu wanacheza uchi, wakakuta ushahidi kwenye CCTV kuwa hakuna uchawi hapo, ni mioango ya watu tu kuhadaa umma.

Sass, kwa nini tunakimbilia kusema huu ni uchawi badala ya kuchunguza?
 
Ukifa unaoza unakuwa mbolea ya mimea / hayo mafuta na nishati kadhaa almasi n.k. ni viumbe vilivyokufa zamani...

Kabla haujaziliwa ulikuwa haupo chanzo chako ni mbegu ni kama vile unashangaa huu muindi umetoka wapi wakati ulipanda mbegu / indi
Mbegu imetokea wapi?

Sasa kama nishati hutokea kwenye mazali ya viumbe, basi inamaana mtu akifa anaenda ku exist in another form of life
 
Wafia dini washauharibu huu uzi.

Uzi ulitakiwa kujibiwa kwa facts na vithibitisho vinavyomake sense visivyoegemea upande wa dini wala imani yoyote.

Vithibitisho vya kweli sikuzote havichagui hali yako ya kiimani wala rangi yako, facts ni facts tu, wanaothibitisha kwa kutumia biblia na quran na kuconclude kuwa jambo liko hivi au vile hawa ni waongo wakubwa, maana vitabu vyao haviwezi hata kujithibitisha vyenyewe ukweli wa maandiko yao yanayopingana.

Ukifa umekufa, subiri huko huko ndiko utajua kama kuna linakofuata, tusiaminishane uongo hapa maana hakuna aliyewai kufa akarudi na kuleta ushahidi wa aliyoyaona, hivyo basi hizi nadharia za maisha baada ya kifo ni porojo na stories za kuwadanganya watu wasi enjoy maisha ya dunia kwa kutegemea maisha mengine ambayo kiuhalisia hayapo na hayatokuwepo.
 
sasa naww kwani amuaminiani na uyo shogako adi uje uku kuuliza kitu kilekile ?
 
umezungumza sawia kabisa mwili sasa huyo mtu yuko wapi kama mwili wake unaenda kushambuliwa na bakteria huko ardhini.
na hata ukifa leo tutasema mwili wa marehemu ila bado ww hatutakutaja hapo uko wapi?
Msingi wa Swali lako hauna maana yoyote ile

Kukosa huko maana kunasababishwa na kutoelewa vitu kadhaa, ikiwemo

Mtu ni nini

Mwili wa marehemu ni nini

Je waweza kunijibu maswali haya ili tuelewane?
 
Kumbe ulikua na jibu lako tayari, Ulileta mada ya nini sasa
Jibu gani nilikuwa nalo sijakuelewa, na sio kila anaeleta mada hapa hana majibu au ana majibu kuna wengine wana majibu ambayo hayawaridhishi kuna wengine hawana majibu kabisa
 
Mbegu imetokea wapi?
Kabla ya yote hivi unajua kwamba nothingness haipo yaani hakuna kitu kama nothingness kukuwa na volume basi lazima kuna vitu ndani yake; hata leo ukiweka chupa tupu kwa macho yako ifunge kabisa kama kuna favorable conditions utakuta kuna life forms humo ndani.... Kwahio utaona kwamba with favorable conditions unicellular can become multicellular....

Sasa kama nishati hutokea kwenye mazali ya viumbe, basi inamaana mtu akifa anaenda ku exist in another form of life
nimeongelea nishati as in petrol and gas kwamba hii petroleum sio kwamba Mungu aliweka ni life forms zilizokufa miaka na miaka hata Biogas ni kwamba vitu vikioza sio kwamba vyote vinakuwa Biogas; bali kuna gesi inapatikana kutokana waste ambayo inatokea wakati bacteria wanachakata hayo masalia (unaongelea life form kwahio unamaanisha petroli au almasi inaishi )?
 
Kwamba quran ni kitabu kitakatifu?
 
Wewe ulipouliza kama kuna maisha baada ya kifo ulimaanisha nini?
Nilimaanisha kuwa kuna maisha baada ya kifo ? Na ndivyo ulivyojibu (ndio) na kutoa tafsiri yakwanini umesema ndio, sasa hapo hata ungejibu hapana bado ningekudai sababu za kusema hapana.
Umenielewa mr Kiranga ?
 
Nashukuru kwa jibu lako murua kabisa , nahitaji kujua maana ya kufa/kifo ni ipi?
 
Mkuu, Uzima ni sifa (kivumishi)

Hivyo unaposema roho ndiyo uzima ni sawa, lakini ukidai uzima huo (roho) ndiyo unaenda mahali pengine baada ya kufa, unakuwa unafanya makosa makubwa.

Yaani hauna tofauti na mimi kukuiliza kuwa mtoto anapokuwa mdogo anakuwa mfupi, akifikisha miaka 40 huo ufupi unaenda wapi?

Kwahyo naweza sema habari ya roho ina utata mkubwa, na utata huo ni kwasababu tu roho hiyo haipo katika uhalisia.
 
Usikamatwe na mtego wa lugha.

Lugha ya kiswahili ni finyu sana.

Ili tutafute usahihi na umaana wa kitu kwa sauti moja kama walimwengu pasina kubase jamii tulizokulia,
Unaweza kuniambia kwa kiingereza hiyo kauli ya kwamba "una roho mbaya" ? Ili tuijadili hapa
 
Evil behavour
 
Unaelewa hata maana ya kifo?

Kwanini unataka kuwepo na maisha ilihali umeshakufa?
Mitume na manaabii + vitabu hivyo unavyoviamini, je ni vya kweli..??

Ukigundua kama haabari za manabii, mitume na vitabu hivyo ulivyodanganywa kwamba vimeteremshwa kutoka sehemu isiyopo (mbinguni) ni za uongo na zimejaa migongano ya wazi kabisa utaendelea kusema kuna maisha mengine baada ya kufa?
 
Evil behavour
Unaweza kuwianisha kauli hiyo (ya kiingereza) na kutueleza uwepo/uhalisia wa hiyo roho?

Kama ulivyojenga hoja yako hapa
Nina hakika Umewahi kusikia mara nyingi watu wakisema ''Aisee, Huyo jamaa ana roho mbaya sana kaa naye mabali" Je, kwa nini wasiseme ana moyo mbaya? Hiyo roho wanamaanisha waliionaje/nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…