KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Kichwa cha habari kinahusika.
Katika pita pita zangu za hapa na pale, nimebahatika kupita maeneo tajwa hapo juu. Kwakweli sijawahi kuona utitiri wa ngedere kiasi hichi. Nakumbuka zamani hizo UDSM pale, tulikuwa tunawaona mara moja moja, lakini nilichokiona wiki hii, nilidhani niko Mikumi.
Mamlaka ya chuo hebu shirikianeni na madiwani wa maeneo ya karibu hayo mfanye mpango muwa-castrate au muwaombe Tanapa wawasaidie maana muda si mrefu wataanzisha koo karibia na barabara ya Morogoro.
Ndio dukuduku langu.
Katika pita pita zangu za hapa na pale, nimebahatika kupita maeneo tajwa hapo juu. Kwakweli sijawahi kuona utitiri wa ngedere kiasi hichi. Nakumbuka zamani hizo UDSM pale, tulikuwa tunawaona mara moja moja, lakini nilichokiona wiki hii, nilidhani niko Mikumi.
Mamlaka ya chuo hebu shirikianeni na madiwani wa maeneo ya karibu hayo mfanye mpango muwa-castrate au muwaombe Tanapa wawasaidie maana muda si mrefu wataanzisha koo karibia na barabara ya Morogoro.
Ndio dukuduku langu.