Hivi kuna mchawi anaweza kufungua password ya iphone kiuchawi?

Hivi kuna mchawi anaweza kufungua password ya iphone kiuchawi?

ha ha! kwangu ni kama mastori fulani hivi yakupita!
uchawi na teknolojia wapi na wapi ndo yaleyale ya kwenye vita vya majimaji walitusuliwa na imani yao yakichawi...
Upooo
 
Uchawi umetofautiana.....uchawi wa tunguri haufany kaz yoyote ya maana...ila uchawi wa kama wa kina Hary Potter ule ndo ulozi unaoweza kufungua iphone
 
Kule Switzerland kuna wakati viongozi waliomba wachawi wapunguze safari za anga wakati wa mchana maana wanaingilia mfumo wa usafiri wa anga wa kawaida
 
wadhaifu kivipi?
Uchawi ni nguvu hasi negative power ambazo zikitumwa upenya unapokuwa nawe negative ni sawa na umeme haupiti penye kizuizi.Unaweza kunielewa zaid km umesoma laws of nature, universal law,yaani nguvu za asili ungejua jinsi ufanyavo kazi na kujikinga nao
 
Ungekuwa na nguvu ungemsaidia raisi wa Gambia kushinda nguvu ya umma maana yule ni gwiji hatari lkn kaondoka
 
Uchawi ni nguvu hasi negative power ambazo zikitumwa upenya unapokuwa nawe negative ni sawa na umeme haupiti penye kizuizi.Unaweza kunielewa zaid km umesoma laws of nature, universal law,yaani nguvu za asili ungejua jinsi ufanyavo kazi na kujikinga nao
kama kuna mchawi ataweza kufungua ya iphone huenda kuna watu wanaweza kushawishika kuusomea huo uchawi.

lakini saizi watu wanasema hawajahi kuona mchawi amefanya kitu cha maana. sasa watu waanze kuhangaika kuusomea uchawi wa nini?
 
Wachawi wangekuwa na akili mimi ninatamani wangechapa viongozi bakora kila wakifanya kinyume ila MICHAWI YETU IPO TU KUUWA WALE WANALETA MAENDELEO,wanataka watu wote wawe masikini.

Wachawi wa Tanzania mnakera sana
Nimecheka sana haki u made my day Ureno hahah[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
tangu nisome vile vitabu vya literature vya form 3, misitu ambayo wazee walikuwa wanatumia kwa ajili ya matambiko na kuombea mvua, wazungu walifyeka yote na kujenga kanisa, na wala hakuna muujiza mmoja uliotokea...

Tangu nilivyosoma nilijitoa matongo tongo ya kutosha, na huwa siamin hata lepe la uchawi hadi leo
 
Mchawi adui yake ni utajiri mbona wanaingia ndani ya nyumba kiuchawi hawachukui pesa zipo juu ya meza.hivi uchawi faida yake nini?
Apo saas uwezo inao lakin matumiz ujui si bora uwe kama mimi mtumishi wa mungu
 
Hizi ni technology mbili tofauti kabisa na haziwezi kushirikiana kwa namna yote,
 
Back
Top Bottom