MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Sio Onyesho ni OneshoDaaaah. Amenichekesha sana na visa vyetu. Najuta kukosa onyesho lao la leo kisa uvivu.
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣Nimecheka hapo anapo muelezea mwanamke.
Uwezo wake wa kufikiri umenifanya nifikirie mara mbilimbilia, anajitahidi sana na ana kipaji kikubwa. Hasa hapo alipozungumzia kuhusu NYUMBU dakika ya 1 hadi 4 nimecheka siku nzima leo.
Usiidharau nazi embe tunda la msimuVijana wa freebasics piteni tu kimya kimya najua hamjaona chochote.