brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
- Thread starter
-
- #181
Unganisha , picha kama unaweza ili wadau, walinganishe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaaa unaznguaa lets put it on vote tunda vs Officialyn...
Itakua mkoan kwenuMkoani visu kama hivyo hamna, mkoani unashindwa kutofautisha mwanamke na mwanamme wote wamekomaa alaf wana vigimbi ,teh teh teh
kuna watu wanapenda chura na shindu mmoja wapo n wewetunda hana churaa kabisa
weka picha tuhakikiMke wangu ni mzuri zaidi yake.
NimeshaelekezaHebu elekeza vizuri weekend ndo inaanza hivyo
Sema nn mkuu,mayb 2po difa..me nakaona km kitoto flan kshamba shamba ambacho wazaz nahis ni kat ya kundi la wanaona aibu kushout 'we have a daughter "
Wewe si hutaki kuja kwenye Vikao! Ni kila Jumapili msimbazi centreHeshima yako mkuu Chapa. Naona unaipigia Promo Bar yako. Safi sana na kila la kheri kwenye maandalizi yako ya Harusi
Ila kweli kalulu kazuri hakajiedit Sana kupitilizaHamfikii huyu kiumbe kwa uzuri