Mr_X
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 1,170
- 2,335
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] eti kimK na shilole dahMtake radhi Tunda, yaan unamfananisha Tunda na Wasichana cheap kama hao??
Yaan ni sawa kumlinganisha Kim Kardashian na Shilole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] eti kimK na shilole dahMtake radhi Tunda, yaan unamfananisha Tunda na Wasichana cheap kama hao??
Yaan ni sawa kumlinganisha Kim Kardashian na Shilole
Mbavu zangu mimi hukuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akiambiwa atafute jawabu la swali lifuatalo kwa kutumia kwadratiki fomula anaweza? (2X^2)+(5X)+2=0
Kama hawezi sio mzuri!
Ebu Nimuone!!Wakawaida Sana aiseee Mimi Nina mdogo wangu wa mtaani tunda anasubiri Sana.
Utamuona kwenye video Mpya ya Mavoko.Ebu Nimuone!!
Kwanza anakuzidi uzurii hata wewe??Utamuona kwenye video Mpya ya Mavoko.
Wimbo upi??Utamuona kwenye video Mpya ya Mavoko.
Yeah kabisa.....!Hapo Sasa! kila mtu na taste yake wengine kupapasa vifupa fupa hivyo stimu ina kata tuseme nini hapo?
Wajasiliamwili tu hao.....!I nashangaza......