Mwana kondoo
Senior Member
- May 21, 2017
- 180
- 177
hahaaaaaaaa kweli mkuuni sawa na kusema kuna mtu hajawahi kusema uongo kweli...tafta jibu sasa
hahaahaaaaaa daaaaah umenifanya nicheke, haya nitakushtuaWakifika unishtue na mimi
but hata ukiwa na wapenzi mia, km kuna mmoja unaempenda kati ya hao mia, akikutenda lazima uumieKuwa na wapenzi zaidi ya mmoja yani maumivu yakutendwa utayasikia kwa jirani tu, jenga plan B, mmoja akizingua una hamia kwingine.
Nimetendwa sana mkuu hadi kuandika ivo, upande wangu sijawai kumtenda mwanamke wanguKwanini unafikiria kutendwa na si kinyume chake?
Wewe ina maana hujawahi kumtenda mpenzi wako?
Wanasemaga "It takes two to tangle"
but hata ukiwa na wapenzi mia, km kuna mmoja unaempenda kati ya hao mia, akikutenda lazima uumie
nimekusoma mkuumapenzi safari!!mimi nauri sina...
haujakutana na mwanamke wa kumpenda ndo maanaMimi huwa nafanya mwanamke ananipende na si kumpenda mimi.
haujakutana na mwanamke wa kumpenda ndo maana
Kuna mahali unakosea. ...Nimetendwa sana mkuu hadi kuandika ivo, upande wangu sijawai kumtenda mwanamke wangu
Mussa unamajibu tata. ...Mimi huwa nafanya mwanamke ananipende na si kumpenda mimi.
Nishajiangalia sana kiundani sioni tatizo, labda sasa nipige exrayKuna mahali unakosea. ...
Unahitaji kujiangalia kwa undani.....