Mussa waukweli.
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 534
- 319
Mussa unamajibu tata. ...
Kwahiyo bado hujapenda bado?
Napenda lakini si kupitiliza kiasi kwamba hata akizingua siumii bali atabaki ana maumivu ya kunipoteza mimi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mussa unamajibu tata. ...
Kwahiyo bado hujapenda bado?
duuuuuuuuuuuuh haya mkuu hongeraNipo,
Siri: Sijawahi kupenda kiasi cha kumuweka mwanamke moyoni.
[emoji6][emoji6][emoji6] usisahau CT or MRI scan......Nishajiangalia sana kiundani sioni tatizo, labda sasa nipige exray
Hujapenda bado. ...[emoji20][emoji20]Napenda lakini si kupitiliza kiasi kwamba hata akizingua siumii bali atabaki ana maumivu ya kunipoteza mimi.
Hujapenda bado. ...[emoji20][emoji20]
Kuwa na wapenzi zaidi ya mmoja yani maumivu yakutendwa utayasikia kwa jirani tu, jenga plan B, mmoja akizingua una hamia kwingine.
Hii ndio mbinu makanikia ya kupunguza maumivu..!!!
AsanteeeeeeHakuna aisee,labda Ndio anaeanza kupendwa au kupenda. Na watabwagana tu hao
kusoma huwezi hata picha huoni,,ukiona dalili unakusanya kilicho chako unatembea mapema,kujifanya penda penda ndo mana mnajiuaSalam wana JF,
Kama kuna mtu hajawai kutendwa katika mahusiano ya kimapenzi pamoja na ndoa, ajitokeze aeleze ni nini siri ya kutotendwa ili na sisi tunaotendwa tutumie njia hiyo, maana nshachoka sasa.
NAWASILISHA.
Mimi badoSalam wana JF,
Kama kuna mtu hajawai kutendwa katika mahusiano ya kimapenzi pamoja na ndoa, ajitokeze aeleze ni nini siri ya kutotendwa ili na sisi tunaotendwa tutumie njia hiyo, maana nshachoka sasa.
NAWASILISHA.
YatakukutaMimi bado
Kataa ndoaYatakukuta