Hivi, Kuna mtu mwenye akili timamu alienda uwanjani akiamini Simba itashinda dhidi ya Casablanca?

Hivi, Kuna mtu mwenye akili timamu alienda uwanjani akiamini Simba itashinda dhidi ya Casablanca?

Dat4

Member
Joined
Aug 24, 2022
Posts
96
Reaction score
148
Nimeona mashabiki wengi wa Simba eti wanaongea kwa uchungu sana na wanamlaumu kocha kisa kufungwa na Raja!

Hivi kweli tukiweka bangi pembeni

Kweli Mtu unashangaa simba kufungwa na Raja? Tukubali tukatae wale watu hakuna timuvya kuwafunga hapa bongo na jana mpira walioucheza walicheza kwa kiwango cha chini sana!

Cha msingi tukomalie game zilizobaki tupate ushindi mfululizo

Kingine nilichogundua Kumbe pesa ya mwanamke hailiwi kirahisi na pia Mama yuko vizur kwenye kubeti aisee
 
Kwahiyo kabla ya mechi hukuona manyuzi ya kujifariji yalivokua mengi ? Na wengine wakaenda mbali na kuja na histiria za kwa mkapa hatoki mtu?
 
Simba ni kubwaaa
Hizi nyuzi zitaandikwa kwa mwezi mzima
Na ni fursa ya mashabiki wa hovyo kujifunza kukosoa kwa mwezi huu wote.

Na Moderator wamekuwa wakizifuta mno Nyuzi za namna hii lakini wapi, wacha wajipumbaze ni muda wao.
 
Na ni fursa ya mashabiki wa hovyo kujifunza kukosoa kwa mwezi huu wote.

Na Moderator wamekuwa wakizifuta mno Nyuzi za namna hii lakini wapi, wacha wajipumbaze ni muda wao.
Waache watoe ngenga maana ya kwao yaliwabana
 
Waache watoe ngenga maana ya kwao yaliwabana
Mi nawapongeza Tu kwa ubingwa sio Kwa kushangilia kule mpaka wanamuinua kocha juu juu utopolo hizi furaha zao Simba tulifanya kuitafuta makundi champion League baada ya muda mrefu wakati nkana anakufa alafu ikaja zidi ya as vital bonge la mech kuitafuta robo saizi ni kawaida Tu kwa Simba labda tuguse nusu
 
Back
Top Bottom