Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,912
Mi hua nawaskia hawa jamaa kupitia misemo yao ila sijawahi kuwaona!!!
Mimi mwenyewe siwajui ila nimeulizia hapa kitaa wakanijibu hivi :-
Wahenga, ndiyo husababisha paka kulia usiku na kisha hutokea la kutokea Kwa jirani "