Mi hua nawaskia hawa jamaa kupitia misemo yao ila sijawahi kuwaona!!!
Mmoja wapo ni huyu hapa.Mi hua nawaskia hawa jamaa kupitia misemo yao ila sijawahi kuwaona!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wahenga walikua wanzingua walisema harakaharaka haina baraka
Mara oooh liwezeknalo Leo lisingoje kesho
Mara ooh mvumilivu hula mbivu Mara ukichelewa utakuta maana s wako m naona walikua hawapo serious hawa wahenga koz hawana msimamo.
Ndo hao,wanakula haooo...oohoooo
Mi hua nawaskia hawa jamaa kupitia misemo yao ila sijawahi kuwaona!!!
[emoji1] [emoji1]